UTABIRI: Kwenye mechi ya Ihefu vs Simba Marefa watayafanya makosa ya kiubinadamu na kupelekea Simba kupata pointi tatu muhimu

UTABIRI: Kwenye mechi ya Ihefu vs Simba Marefa watayafanya makosa ya kiubinadamu na kupelekea Simba kupata pointi tatu muhimu

Ndiyo ihefu ni mbabe wa yanga aliyeifunga yanga Mara moja
Lakini yanga mbabe wa Simba aliyeifunga Simba zaidi ya Mara moja

Tukutane tar 19/4 kipigo maridhawa kipo pale pale bila yakupepesa macho tatu mzuka zinawafaa.
Niliuliza kuhusu IHEFU
 
Naam, kambumbu itapigwa pale Mbalali kwenye Uwanja wa Mpunga, Ihefu akimualika Simba SC.

NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.

Utabiri huu maridhawa kabisa yatatokea makosa ya kibinadamu kwa waamuzi wetu na kukosa haki kwa timu ya Ihefu FC.

Matokeo yatakua tofauti na vile Ihefu watakavyodani kuwa uwanjani kwao hatoki mtu.
Utopolo unateseka wakati unaongoza?!Uchawi kitu kibaya sana

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Naam, kambumbu itapigwa pale Mbalali kwenye Uwanja wa Mpunga, Ihefu akimualika Simba SC.

NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho.

Utabiri huu maridhawa kabisa yatatokea makosa ya kibinadamu kwa waamuzi wetu na kukosa haki kwa timu ya Ihefu FC.

Matokeo yatakua tofauti na vile Ihefu watakavyodani kuwa uwanjani kwao hatoki mtu.
Utopolo mna kazi sana
 
Mechi ile ya juzi, goli la kwanza ni la utata mtupu mara mpira umevuka mstari, kipa nae akatoa sadaka kwa Baleke.
Goli la pili, mtu anachezewa faulo wazi wazi lakini refa anaacha tu watu waende wakafunge. Goli la tatu nalo limetolewa pochi. Yaani ilikuwa ni mwendo wa kubadilishana tu pochi kati ya refa, kipa na wachezaji.
Kinyesi unaumia nini lkn?kufungwa afungwe ihefu uumie wewe utopolo,goli lwa kwanza kipa kaokolea ndani,goli la pili kibu na mahundi walikuwa wanagombania mpira wote,tena kwa kitumia nguvu(50/50),matokeo ya battle hiyo kibu ndo alishinda sasa faulo ilikuwa wapi pale.Unajiumiza bure na mambo yasiyokuhusu.
 
Mechi ile ya juzi, goli la kwanza ni la utata mtupu mara mpira umevuka mstari, kipa nae akatoa sadaka kwa Baleke.
Goli la pili, mtu anachezewa faulo wazi wazi lakini refa anaacha tu watu waende wakafunge. Goli la tatu nalo limetolewa pochi. Yaani ilikuwa ni mwendo wa kubadilishana tu pochi kati ya refa, kipa na wachezaji.
Tufanye ilikua 2 kwa moja. Hizo tatu tuondoe.

Kumbe Ihefu akimfunga Azam na Yanga lazima na Simba afungwe.

Kwako kila mtu akianguka Ni faulo.

Kweli nyie mna vinyesi kwenye ubongo.
 
Ndiyo ihefu ni mbabe wa yanga aliyeifunga yanga Mara moja
Lakini yanga mbabe wa Simba aliyeifunga Simba zaidi ya Mara moja

Tukutane tar 19/4 kipigo maridhawa kipo pale pale bila yakupepesa macho tatu mzuka zinawafaa.
Yaani kama mgeni anawasikiliza utopolo anaeza fikiri simba haijawahi mfunga utopolo hata mara moja. Yaani hutaki kuamini kama ihefu ni timu mbovu na ilimfunga yanga baada ya ihefu kugoma kupokea bahasha?
 
Yaani kama mgeni anawasikiliza utopolo anaeza fikiri simba haijawahi mfunga utopolo hata mara moja. Yaani hutaki kuamini kama ihefu ni timu mbovu na ilimfunga yanga baada ya ihefu kugoma kupokea bahasha?
Kwa hiyo ihefu wamekubali kupokea rushwa kwenu si ndiyo
 
Kikosi
simbasctanzania-20230410-0001.jpg
 
Naam, kambumbu itapigwa pale Mbalali kwenye Uwanja wa Mpunga, Ihefu akimualika Simba SC.

NALIA NGWENA the big thinker natabili kadi za njano zakutosha na ikiwezekana kadi nyekundu inaweza kutokea kwa Ihefu nakupelekea kudondosha point tatu muhimu ndani ya uwanja wao/uwanja wa damu na jasho...
Kama ilivyotokea Yanga vs Geita
 
Vipi Kaka umepotea baada ya maparachichi kuoza?. Njoo ubishane tena, Simba babalao.
 
Mtoa mada akiangalia Simba ilivyokuwa ya moto kwa game zake nyingi anazoshinda anaamua kujizima data na kutengeneza DM ili hata Simba ilishinda ajitetee kwamba si nilisema hivi?.....hizo ni pigo za kike za kuwa na wivu bila sababu
 
Back
Top Bottom