Kenya 2022 UTABIRI: Mahakama isipofuta uchaguzi Raila ataitisha maandamano, na ikifuta hatakubali uchaguzi urudiwe

Kenya 2022 UTABIRI: Mahakama isipofuta uchaguzi Raila ataitisha maandamano, na ikifuta hatakubali uchaguzi urudiwe

Kenya 2022 General Election

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Huu ni utabiri wangu kuhusu kitakachotokea ndani ya wiki mbili hizi huko Kenya.

Ni kuwa Raila ameona hakuna namna yoyote anaweza kuwa Rais wa Kenya na ukizingatia umri wake anaona kama anaenda kuwa irrelevant kisiasa.

Uamuzi wowote utakaotolewa na mahakama tofauti na kumtangaza Odinga mshindi mzee ataleta fujo.

Itakuwani mwendelezo wa vihoja tu ili abaki relevant kwa kupewa handshake na Ruto.

Matokeo ya mahakama yakisema uchaguzi uliofanyika ulikuwa hauna kasoro kubwa, basi Raila na wafuasi wake watasema mahakama imenunuliwa na wataitisha maandamano yasiyo na kikomo ili kuleta tu crisis.

Pili mahakama ikasema uchaguzi urudiwe, basi Odinga hatakubaliana na hilo pia, sababu anajua ataenda kushindwa vibaya tena zaidi, atakachofanya atatoa masharti ya ajabu kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi ambayo hayatekelezeki.

Yasipotekelezwa ndio hapo atapata kisingizio cha kutangaza maandamano nchi nzima ili atulizwe tena kwa handshake.

MARK THIS THREAD
 
Unachotakiwa kujua ni kuwa Raila hajawahi kushindwa chaguzi zote zilizowahi kufanyika. Wakati yeye akiwa muumini wa free and fair elections wenzie wanawkeza kwenye rigging manovre.
Raila is Gentleman per see siyo sawa na hao mafioso wako
Nimesema Ruto alichosema hayo mambo mengine mimi sijui. Unaelewa?
 
Raila ni mwanamageuzi na mwanademokrasia wa kweli siyo political opportunist kama hao jamaa wengine.
Amepambania demokrasia ya vyama vingi kwa jasho na damu hata kabla havijaruhusiwa,amekuwa mfungwa wa kisiasa,amekaa kwenye torture chambers nyao house enzi za Moi ameishi uhamishoni akipambania demokrasia, msimlinganishe Raila na wachumia tumbo wengine hata asipopata uraisi historia itamkumbuka vizazi hadi vizazi kama shujaaa wa demokrasia ya kweli.
 
Huu ni utabiri wangu kuhusu kitakachotokea ndani ya wiki mbili hizi huko Kenya.

Ni kuwa Raila ameona hakuna namna yoyote anaweza kuwa Rais wa Kenya na ukizingatia umri wake anaona kama anaenda kuwa irrelevant kisiasa.

Uamuzi wowote utakaotolewa na mahakama tofauti na kumtangaza Odinga mshindi mzee ataleta fujo.

Itakuwani mwendelezo wa vihoja tu ili abaki relevant kwa kupewa handshake na Ruto.

Matokeo ya mahakama yakisema uchaguzi uliofanyika ulikuwa hauna kasoro kubwa, basi Raila na wafuasi wake watasema mahakama imenunuliwa na wataitisha maandamano yasiyo na kikomo ili kuleta tu crisis.

Pili mahakama ikasema uchaguzi urudiwe, basi Odinga hatakubaliana na hilo pia, sababu anajua ataenda kushindwa vibaya tena zaidi, atakachofanya atatoa masharti ya ajabu kuhusu kurudiwa kwa uchaguzi ambayo hayatekelezeki.

Yasipotekelezwa ndio hapo atapata kisingizio cha kutangaza maandamano nchi nzima ili atulizwe tena kwa handshake.

MARK THIS THREAD

Sawa tumekusikia na utabiri wako!
 
Back
Top Bottom