Supercomputer
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 634
- 1,311
Hakuna kitu kama hichoHivi ulishawaza itakuaje KAMA Young Africans SC wakitolewa na Vitalo hatua ya Awali ya Champions League? Mpira una matokeo ya kikatili sana mjue hapo lazima Gamondi aliwe kichwa
Yanga wanatazama perfomance ya timu. Alivumiliwa Nabi for two years bila kuipeleka timu kimataifa sembuse Gamond anayewakanda Simba kila siku kwa vipigo vitakatifu?Hivi ulishawaza itakuaje KAMA Young Africans SC wakitolewa na Vitalo hatua ya Awali ya Champions League? Mpira una matokeo ya kikatili sana mjue hapo lazima Gamondi aliwe kichwa
Namba 2.Kutoka ligi yoyote duniani.
Mi nadhani Hawa hapa hawatomaliza msimu na pengine hawatafika hata Christmas.
i)Eric Ten Haag
ii)Fadlu Davies
iii)Mourinho
iv)Vincent Kompany
Wewe mwanamichezo unahisi kocha gani atafukuzwa mapema?
Kiko wapii..Fadlu Bado yupo sanaKutoka ligi yoyote duniani.
Mi nadhani Hawa hapa hawatomaliza msimu na pengine hawatafika hata Christmas.
i)Eric Ten Haag
ii)Fadlu Davies
iii)Mourinho
iv)Vincent Kompany
Wewe mwanamichezo unahisi kocha gani atafukuzwa mapema?
Mkuu, shikamooo!Mleta mada kwenye hiyo list yako nafikiri namna 2 ndo inapaswa kuwa namba 1 hapo.
Heheheee! Kiko wapiYanga wanatazama perfomance ya timu. Alivumiliwa Nabi for two years bila kuipeleka timu kimataifa sembuse Gamond anayewakanda Simba kila siku kwa vipigo vitakatifu?
Unasemaje etiππππππππππππππππππππππYanga wanatazama perfomance ya timu. Alivumiliwa Nabi for two years bila kuipeleka timu kimataifa sembuse Gamond anayewakanda Simba kila siku kwa vipigo vitakatifu?
Nimeumbuka aseee.Unasemaje etiππππππππππππππππππππππ
Pole sana mkuuπππNimeumbuka aseee.
Asante kaka.Pole sana mkuuπππ
Yanga wanatazama perfomance ya timu. Alivumiliwa Nabi for two years bila kuipeleka timu kimataifa sembuse Gamond anayewakanda Simba kila siku kwa vipigo vitakatifu?
Ulipatia sana mkuu.Mleta mada kwenye hiyo list yako nafikiri namna 2 ndo inapaswa kuwa namba 1 hapo.