Utabiri: Odinga anaenda kushinda Urais

Utabiri: Odinga anaenda kushinda Urais

Kwa ukabila wa Kenya, hakuna swing kwenye ukabila huo bali kinachofanyika ni kitu kinachoitwa diffusion, kwa kila kambi kuwaweka watu wa dominant tribes with solid promises za kuja kushika madaraka fulani iwapo fulani atashinda.
Hii maana yake ili Odinga apate kura ya Mkikuyu, ni lazima kwenye line up awe na Mkikuyu mwenye ahadi ya kuwa PM, Spika, CJ au waziri wwizara muhimu.

Huu ukabila wa Kenya huko tuendako sisi Tanzania pia ndio tunauanza, na mimi niliuzungumzia sana humu
Sumu ya Siasa za Udini, Ukanda na Ukabila, "Is It Real? au ni ...
Tuhuma Za Ukabila: Wasukuma Sii Miongoni Mwa Makabila Yenye ...
Tupende, tusipende: Tanzania inanyemelewa na udini! | Page 42 ...
Mtazamo: Kanda ya Kaskazini, CCM imechokwa mpaka basi! | Page 4 ...
Makabila makubwa vs Makabila madogo | JamiiForums | The Home of ...
Mkuu wa Mkoa wa Arusha na ukabila; Ukemewe na kila mmoja wetu ...
Kuelekea 2015: CHADEMA Kuchukua Nchi Kwa Kishindo!... Only If ...
Ni kweli kuna makabila yasiyotakiwa kutoa rais wa nchi? | Page 7 ...


Tumeishaanza kidogo kidogo, determinant ya nani anashinda urais wa Tanzania, inaamuliwa na Kanda ya Ziwa, hivyo tumeishaanza anza kupiga chapuo
Baada ya Magufuli, 2025 Makonda atatufaa sana, kwasababu ana ...

Udini, Ukanda na Uksabila ni sumu mbaya sana, hatuwezi kuipiga vita kwa denial kuwa haipo Tanzania, ipo, dawa ni kui contain na kui diffuse!.
Paskali


Ni nadra saana kunipata nikijibu mada kama hizi lakini hizo nyuzi ulizoweka nadhani zitanipa fundisho mwafaka kuhusu Tanzania watu wake na siasa zake. Ahsante.
mleta mada kweli huijui siasa za Kenya, ingefaa ujielemishe nayo kwanza. uchambuzi wako kumhusu Raila ni feki sana.

Ahsante kwa kutupa hizo nyuzi, nitazipitia na bila shaka itanifariji. Kumbe siwajui Tanzania na watanzania.
Mleta mada, kweli huijui siasa za Kenya
 
Mbona maalim seif hamshauri kenyetta agomee uchaguzi?
Kenyata agomee uchaguzi wakati ndo ameshikilia mpini.Wakugomea mbona ashatangaza ona hapa chini
Screenshot_2017-09-05-13-33-07.png


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani jaji Maraga ndo mpiga kura mkuu? Kwani jaji Maraga ndo IEBC? Odinga hashindi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maana yangu hapo mkuu ilikuwa kwamba Uhuru matumaini yake makubwa ni kwenye IEBC kucheza na matokeo. Anaona kizingiti kikubwa ktk hilo ni mahakama, ndiyo maana anambwatukia Maraga. Na ikiwa hivyo Odinga chali.
 
Sikuzote watu wanaweza wakamkataa mtu fulani, lakini wako watakao shawishika na watu wengine kulingana na mazingira yanavyojionyesha.

Swali wanalojiuliza ni kwanini watu wengi wamemkubali Odinga? Hapa dalili za Odinga kuthaminishwa huanza kujitokeza.

Mfano hapa Tanzania, kuna watu walimkataa Lowasa na Upinzani mwanzoni, wakijiaminisha kua wao wanaiunga mkono CCM chama cha Nyerere.

Hata hivyo baada ya Ngoma yake kulia na kuchezwa sana kila mahali, watu wale wakajikuta wanaanza kumthaminisha na wanamuimba kuliko wimbo wa [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] me wa ali kiba.

Tukirudi Kenya:-
Kwa hapa utaona Odinga amejenga mvuto na Ngoma yake inachezeka zaidi kwasababu Mahakama imeamua positive juu yake.
Mamuzi ya mahakama yanatoa Picha kwa wakenya kua Odinga ndiye anayependwa na ndiye alieshinda Uchaguzi na si Kenyatta.

Na hapa utaona, hata waliomkataa wataanza kumfikiria kua anafaa. Kwavile tu Mahakama ilimpa ushindi.

Watamchukulia Odinga kama mtenda Haki kwasababu mahakama ilimpa Haki. Na kinyume chake kwa Kenyatta ambaye alipoteza.

Hii ni dalili kua Odinga anakwenda kushinda U-Raisi ndani ya siku 60 zijazo

Hata hivyo wako wanaopingana na nadharia hii wakidai wakenya wana ukabila sana, hivyo zamu hii yale Makabila Tawala watahakikisha Odinga hashindi.

Jibu langu:- Nadhani sikuzote wako watu wasiofungamana na upande wowote hata ndani ya makabila Tawala. Hawa ni wale "swing". Wana sway anywhere..kulingana na wanachokifikiri wao.
Hawa wana uwezekano wakakaa upande wa Odinga zaidi.


2. Na rekodi za wananchi wa kenya zinaonyesha hawana Tabia ya kumtaka mtu aongoze Awamu 2 za Uraisi.mfano walimkataa Mwai kibaki dhidi ya Odinga kwenye uchaguzi wa Pili.

3. Inawezekana ikawa Ni kweli kua, Kenyatta aliashindwa Uraisi. Kama asingeiba asingeibuka mshindi..mnakumbuka yule jamaa aliekufa ghafla.


Zipo dalili kua wameshamkataa Kenyatta na jubilee yake.

4. Matokeo ya wabunge Jubelee inaongoza dhidi ya NASA ya Odinga, hata hivyo kama ni kweli wakina Kenyatta walichakachua matokeo kwa mujibu wa mahakama. Hii ina maana kua wingi wa wabunge wa Kenyatta hauwezi kumsaidia.

Nawasiliasha...

Updated

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe una ndoto mbaya zisizotimikika hata kidogo pamoja na maoni kama ya Juha Kalulu. Odinga hapati 'ngo na atarudi nyumbani tena kulialia mara ya tano kufuta machozi.
 
Sikuzote watu wanaweza wakamkataa mtu fulani, lakini wako watakao shawishika na watu wengine kulingana na mazingira yanavyojionyesha.

Swali wanalojiuliza ni kwanini watu wengi wamemkubali Odinga? Hapa dalili za Odinga kuthaminishwa huanza kujitokeza.

Mfano hapa Tanzania, kuna watu walimkataa Lowasa na Upinzani mwanzoni, wakijiaminisha kua wao wanaiunga mkono CCM chama cha Nyerere.

Hata hivyo baada ya Ngoma yake kulia na kuchezwa sana kila mahali, watu wale wakajikuta wanaanza kumthaminisha na wanamuimba kuliko wimbo wa [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] me wa ali kiba.

Tukirudi Kenya:-
Kwa hapa utaona Odinga amejenga mvuto na Ngoma yake inachezeka zaidi kwasababu Mahakama imeamua positive juu yake.
Mamuzi ya mahakama yanatoa Picha kwa wakenya kua Odinga ndiye anayependwa na ndiye alieshinda Uchaguzi na si Kenyatta.

Na hapa utaona, hata waliomkataa wataanza kumfikiria kua anafaa. Kwavile tu Mahakama ilimpa ushindi.

Watamchukulia Odinga kama mtenda Haki kwasababu mahakama ilimpa Haki. Na kinyume chake kwa Kenyatta ambaye alipoteza.

Hii ni dalili kua Odinga anakwenda kushinda U-Raisi ndani ya siku 60 zijazo

Hata hivyo wako wanaopingana na nadharia hii wakidai wakenya wana ukabila sana, hivyo zamu hii yale Makabila Tawala watahakikisha Odinga hashindi.

Jibu langu:- Nadhani sikuzote wako watu wasiofungamana na upande wowote hata ndani ya makabila Tawala. Hawa ni wale "swing". Wana sway anywhere..kulingana na wanachokifikiri wao.
Hawa wana uwezekano wakakaa upande wa Odinga zaidi.


2. Na rekodi za wananchi wa kenya zinaonyesha hawana Tabia ya kumtaka mtu aongoze Awamu 2 za Uraisi.mfano walimkataa Mwai kibaki dhidi ya Odinga kwenye uchaguzi wa Pili.

3. Inawezekana ikawa Ni kweli kua, Kenyatta aliashindwa Uraisi. Kama asingeiba asingeibuka mshindi..mnakumbuka yule jamaa aliekufa ghafla.


Zipo dalili kua wameshamkataa Kenyatta na jubilee yake.

4. Matokeo ya wabunge Jubelee inaongoza dhidi ya NASA ya Odinga, hata hivyo kama ni kweli wakina Kenyatta walichakachua matokeo kwa mujibu wa mahakama. Hii ina maana kua wingi wa wabunge wa Kenyatta hauwezi kumsaidia.

Nawasiliasha...


Updated

Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo ni maoni yako lakini tunajua wazi kuwa odinga kapewa akili hiyo ya kumsumbua Kenyatta mahakamani kwa kuwa anajua yy hapotezi kitu. Hiyo akili kapewa na huyu asiyejaribiwa kwani aliumbuka mno kwa ushindi wa Kenyatta.
Ulichotoa ni propaganda tupu. Hakuna rais bora afrika kama UK. Mungu atampigania daima. Tunajua hampendi amani kwani vurugu ndiyo jadi yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama figisu hazitatatumika naungana na wewe kuwa Odinga atashinda. Odinga ababebwa na yafuatayo;-
-unga crisis
-unemployment crisis (japo siyo kosa la Uhuru)
-na sasa maamuzi ya mahakama (kama ulivyogusia)

Lkn Uhuru kwa namna alivyombwatukia jaji mkuu ndg Maraga. Sijui..!!!

40b53e63a94b266e7f5f9ea313cfc712.jpg
 
Sikuzote watu wanaweza wakamkataa mtu fulani, lakini wako watakao shawishika na watu wengine kulingana na mazingira yanavyojionyesha.

Swali wanalojiuliza ni kwanini watu wengi wamemkubali Odinga? Hapa dalili za Odinga kuthaminishwa huanza kujitokeza.

Mfano hapa Tanzania, kuna watu walimkataa Lowasa na Upinzani mwanzoni, wakijiaminisha kua wao wanaiunga mkono CCM chama cha Nyerere.

Hata hivyo baada ya Ngoma yake kulia na kuchezwa sana kila mahali, watu wale wakajikuta wanaanza kumthaminisha na wanamuimba kuliko wimbo wa [HASHTAG]#Seduce[/HASHTAG] me wa ali kiba.

Tukirudi Kenya:-
Kwa hapa utaona Odinga amejenga mvuto na Ngoma yake inachezeka zaidi kwasababu Mahakama imeamua positive juu yake.
Mamuzi ya mahakama yanatoa Picha kwa wakenya kua Odinga ndiye anayependwa na ndiye alieshinda Uchaguzi na si Kenyatta.

Na hapa utaona, hata waliomkataa wataanza kumfikiria kua anafaa. Kwavile tu Mahakama ilimpa ushindi.

Watamchukulia Odinga kama mtenda Haki kwasababu mahakama ilimpa Haki. Na kinyume chake kwa Kenyatta ambaye alipoteza.

Hii ni dalili kua Odinga anakwenda kushinda U-Raisi ndani ya siku 60 zijazo

Hata hivyo wako wanaopingana na nadharia hii wakidai wakenya wana ukabila sana, hivyo zamu hii yale Makabila Tawala watahakikisha Odinga hashindi.

Jibu langu:- Nadhani sikuzote wako watu wasiofungamana na upande wowote hata ndani ya makabila Tawala. Hawa ni wale "swing". Wana sway anywhere..kulingana na wanachokifikiri wao.
Hawa wana uwezekano wakakaa upande wa Odinga zaidi.


2. Na rekodi za wananchi wa kenya zinaonyesha hawana Tabia ya kumtaka mtu aongoze Awamu 2 za Uraisi.mfano walimkataa Mwai kibaki dhidi ya Odinga kwenye uchaguzi wa Pili.

3. Inawezekana ikawa Ni kweli kua, Kenyatta aliashindwa Uraisi. Kama asingeiba asingeibuka mshindi..mnakumbuka yule jamaa aliekufa ghafla.


Zipo dalili kua wameshamkataa Kenyatta na jubilee yake.

4. Matokeo ya wabunge Jubelee inaongoza dhidi ya NASA ya Odinga, hata hivyo kama ni kweli wakina Kenyatta walichakachua matokeo kwa mujibu wa mahakama. Hii ina maana kua wingi wa wabunge wa Kenyatta hauwezi kumsaidia.

Nawasiliasha...


Updated

Sent using Jamii Forums mobile app
1504660801830.jpg
Atashindana lakini abadani hawezi kumshinda UHURUTO,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Odinga awezi shinda urais Kenya ata afanye nini kwa sababu jubilee wanaongoza kuanzia wabunge magavana maseneta yaani kuanzia chini kabisa ata akishinda jubilee wanauwezo wa wabunge wake tu kupiga kura ya kuto kuwa na imani naye na uchaguzi ukarudiwa kuamini odinga atashinda uchaguzi kujisumbua odinga ataenda mahakamani tena
 
Maana yangu hapo mkuu ilikuwa kwamba Uhuru matumaini yake makubwa ni kwenye IEBC kucheza na matokeo. Anaona kizingiti kikubwa ktk hilo ni mahakama, ndiyo maana anambwatukia Maraga. Na ikiwa hivyo Odinga chali.
Yaani mkuu yovyote iwavyo,jaluo na urais ni umbali mithiri ya mashariki na magharibi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni maoni yako lakini tunajua wazi kuwa odinga kapewa akili hiyo ya kumsumbua Kenyatta mahakamani kwa kuwa anajua yy hapotezi kitu. Hiyo akili kapewa na huyu asiyejaribiwa kwani aliumbuka mno kwa ushindi wa Kenyatta.
Ulichotoa ni propaganda tupu. Hakuna rais bora afrika kama UK. Mungu atampigania daima. Tunajua hampendi amani kwani vurugu ndiyo jadi yenu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Watapigwa tuuuusihofu chief!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Odinga kama wanavyomuita kifaranga cha Malaga hana chake asipobadiri ngia angani na kuja na mbinu mpya za kampeni...kushinda uchaguzi sio swala la maamuzi ya mahakama na kila mara kutaja kifo cha Chris n.k, hizo mbinu Raila hataingia Ikulu...mbinu pekee ni kuuza sera zao ziwafikie wananchi kila pembe ya Kenya, mijini na vijijini na kwa vile kila eneo lina mahitaji yake lazima wajipange kutoa ambazo zinatekelezeka..
Hii dhana ya kujaza wananchi kwenye viwanja vya kampeni aafu wakadhani ndio wingi wa kura itawapoteza tena maana badala ya kuwafahamisha wananchi manifesto yao itawafanyia nini wao wanatumia muda mwingi kuwashambulia jubilee na bla bla...
 
Odinga kama wanavyomuita kifaranga cha Malaga hana chake asipobadiri ngia angani na kuja na mbinu mpya za kampeni...kushinda uchaguzi sio swala la maamuzi ya mahakama na kila mara kutaja kifo cha Chris n.k, hizo mbinu Raila hataingia Ikulu...mbinu pekee ni kuuza sera zao ziwafikie wananchi kila pembe ya Kenya, mijini na vijijini na kwa vile kila eneo lina mahitaji yake lazima wajipange kutoa ambazo zinatekelezeka..
Hii dhana ya kujaza wananchi kwenye viwanja vya kampeni aafu wakadhani ndio wingi wa kura itawapoteza tena maana badala ya kuwafahamisha wananchi manifesto yao itawafanyia nini wao wanatumia muda mwingi kuwashambulia jubilee na bla bla...
Binafsi kwenye sera siwaelewi kabisa NASA. Nasikia tu kelele miingi
 
Kenya kuna ukabila sana. Wakikuyu ambao ni wasomi sana, wanapesa na wanamiliki aridhi kubwa hawako tayari kutawaliwa na wajaruo. Odinga is wasting his time. Watafanya any mbinu Wakikuyu na makabira rafiki washinde.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kitalachomponza Odinga kukosa urais ni complacency ya watu wake!
 
Back
Top Bottom