UTABIRI: Oktoba 23, Simba 3 - 0 Yanga

UTABIRI: Oktoba 23, Simba 3 - 0 Yanga

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Declaration of interest.

Mimi ni Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.

Utabiri huu umeegemea upande wa kiroho zaidi kuliko upande wa kimwili ambao unajumuisha ubora wa timu, ubora wa wachezaji mmoja mmoja, mbinu za uwanjani na za nje ya uwanja.

Jambo lolote lile liwe la heri ama shari huanzia rohoni na ndipo hudhihirika mwilini. Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.

Hongereni sana Mshana Jr, OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE na wana Simba wengine.

Yanga wenzangu tuanze kujiandaa tu kisaikolojia kukabiliana na huu ukweli mchungu.
 
JamiiForums605260976.jpg
JamiiForums637351572.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe Ni KOLO WIZARDS..
...

Yanga hawezi fungwa na Simba.....
 
Declaration of interest.

Mimi ni Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.

Utabiri huu umeegemea upande wa kiroho zaidi kuliko upande wa kimwili ambao unajumuisha ubora wa timu, ubora wa wachezaji mmoja mmoja, mbinu za uwanjani na za nje ya uwanja.

Jambo lolote lile liwe la heri ama shari huanzia rohoni na ndipo hudhihirika mwilini.

Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.

Hongereni sana Mshana Jr, OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE na wana Simba wengine.

Yanga wenzangu tuanze kujiandaa tu kisaikolojia kukabiliana na huu ukweli mchungu
Mi Mwenyewe ndo hivyo hivyo....!

Najitutumua kuamini Yanga tutashinda Lkn Kuna Ka 'roho' Kanasema...'Safari hii Hutoboi'..!

Sijui haka Ka 'Roho' kamenitokea Wapi?
 
Declaration of interest.

Mimi ni Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.

Utabiri huu umeegemea upande wa kiroho zaidi kuliko upande wa kimwili ambao unajumuisha ubora wa timu, ubora wa wachezaji mmoja mmoja, mbinu za uwanjani na za nje ya uwanja.

Jambo lolote lile liwe la heri ama shari huanzia rohoni na ndipo hudhihirika mwilini.

Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.

Hongereni sana Mshana Jr, OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE na wana Simba wengine.

Yanga wenzangu tuanze kujiandaa tu kisaikolojia kukabiliana na huu ukweli mchungu
Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.[emoji1752]
 
Back
Top Bottom