GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Tokea Wiki iliyoisha nilisema na bado nasema tena kwa Kujiamini kabisa kuwa Simba SC Jumapili tarehe 23 Oktoba, 2022 anaenda Kumfunga / Kuifunga Yanga SC Uwanja wa Mkapa.Declaration of interest.
Mimi ni Yanga kindakindaki na sina mkia wowote maungoni mwangu na moyoni mwangu.
Utabiri huu umeegemea upande wa kiroho zaidi kuliko upande wa kimwili ambao unajumuisha ubora wa timu, ubora wa wachezaji mmoja mmoja, mbinu za uwanjani na za nje ya uwanja.
Jambo lolote lile liwe la heri ama shari huanzia rohoni na ndipo hudhihirika mwilini.
Mechi ya Simba na Yanga imechezwa leo kwenye ulimwengu wa roho, na Simba imeshinda kwa bao 3 na Yanga wamepata 0.
Hongereni sana Mshana Jr, OKW BOBAN SUNZU , GENTAMYCINE na wana Simba wengine.
Yanga wenzangu tuanze kujiandaa tu kisaikolojia kukabiliana na huu ukweli mchungu
Pona pona ya Yanga SC labda Sare.