πππ Mkuu inahitaji ujasiri kutazama ulichotabiri kinageuka juu chiniMkuu wengine wajifunze si kukurupuka na kuanza kuchambua ovyo ovyo.
Kupitia huu uzi wachukue tahadhali [emoji23][emoji23][emoji23]
Ewaaa yametimiaMwaka huu ubingwa atachukua Chelsea a.k.a Blues wa London.
Mzee hebu sogea upande huu utoe comment kidogoTimu inafungwa na Arsenal halafu inawataka Man City, kweli hamkijui mnachokiomba.
Umetisha sana mzeeNatamani Chelsea wakutane na Man city katika fainali ya UCL. Timu zingine hizo hazina uwezo ingawa wana wachezaji wazuri ambao ni very talented.
Vipi mzee mechi imeisha first half eti eeh π€£π€£π€£ pole sana mzee uwezo umejielezaChelsea akienda final akakutana na Man City hiyo game ndio itaisha first half, City bingwa.
Vipi mzee na leo Guardiola hakuwa serious na match eeeh, alikuwa ana rotate kikosi sivyo eeh ππππIle game ya FA Guardiola hakuwa serious nayo, alipomuingiza Gundogan na Foden ghafla mambo yakabadilika bahati nzuri kwa Chelsea dkk zilikuwa zimeshaenda, naamini City akicheza na yoyote kati ya Chelsea au Madrid anachukua kombe, kuna kitu muhimu sana wameongeza kwenye mpira wao; DEFENCE, jamaa wamekuwa solid at the back mpaka nimeshangaa, & that guy Dias, to me is my man of the match today.
#steel.
City possesses quality everywhere, you need to be very lucky to beat 'em.
Timu inafungwa na Arsenal halafu inawataka Man City, kweli hamkijui mnachokiomba.
Chelsea akienda final akakutana na Man City hiyo game ndio itaisha first half, City bingwa.
Guardiola kawazawadia kombe, starting a game like this of this magnitude without your two holding midfilders ni utani, kila anaeujua mpira kamshangaa.Mzee hebu sogea upande huu utoe comment kidogo
Yes, hakuwa serious, game ya final UCL ameenda na kikosi cha majaribio.Vipi mzee na leo Guardiola hakuwa serious na match eeeh, alikuwa ana rotate kikosi sivyo eeh [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
"A winning side never change" Guardiola kavunja hiyo sheria ndio maana yamemkuta, he simply created a seed of his own destruction.Unafikiri mpira ni kuropoka ropoka tu
π€π’π€π¨ π°ππ©π’!?Timu inafungwa na Arsenal halafu inawataka Man City, kweli hamkijui mnachokiomba.
kabisa alikua hana shida na ubingwaYes, hakuwa serious, game ya final UCL ameenda na kikosi cha majaribio.
π€£π€£π€£π€£ Ila we jamaa ni bonge la comedian duuh!!Guardiola kawazawadia kombe, starting a game like this of this magnitude without your two holding midfilders ni utani, kila anaeujua mpira kamshangaa.
No Fernandinho. No Rodri. Wow!.
Kaanza na kikosi ambacho hajawahi kukichezesha kabla yani ni utani, ndio maana Kante kazungusha pale kati kama malaika, amefanya majaribio kwenye game ya fainali I can't blv this.
Angeanza na kikosi kilichomtoa Dortmund na PSG msingetoka, Im very sure on this, tatizo lake anapenda majaribio yasiyo na maana.
Anyway, congrats kwa kupewa kombe na Guardiola himself.
Nilisema humu uache maneno mengi hukusikia ona sasa kilicho kukuta, Chelsea mliibeza sana tangu makundi ila jamaa wakashusha vipigo hadi mnashangaa.Yes, hakuwa serious, game ya final UCL ameenda na kikosi cha majaribio.
π€£π€£π€£ Uko wapi mkuuHivi chelsea ina wachezaji gani wa kutisha ,wataje basi ??..
Haina wachezaji wabunifu wanaowezakuamua matokeo ,hao wanacheza kwa morali tu ,..
Sasa watakachokutana nacho final ,mtajuta kuingia uwanjani ..
Yes, The BluesHahahaaaa.
Gunner sijawahi kuishabikia kabisa!
Pale UK machama yangu ni The Blues na The Reds