Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Utabiri: PSG Ndio Mabingwa Wa UEFA Champions League 2021

Real madrid hua wanapandwa na mapepo ya ubingwa wakifika nusu fainali. Ukiangalia jana walicheza bila mabeki wao watatu wa kuwategemea. Sergio Ramos, Raphael Varane, Dan Carvajal. Pale katikati wana casemiro, mondrick, na Krose. Viungo wote hawa ni Seniors na wana uzoefu mkubwa sana, pamoja na kua wamechukua uefa mara nne ndani ya madrid, ila wanakua na njaa ya mafanikio vibaya mno.
Angalia jana walivyocheza, ni kama timu mbovu hivi, lakini zidane ni kocha wa matokeo, hana mpira mzuri ila...
Ni timu ya kawaida tu, Liverpool wamekosa nafasi kibao. Kwa timu zilizobaki Man city na Psg wana ubora kuliko wao ingawa kwa mpira chochote kinawezekana.
 
Wanapojadiliana muwe mnaangalia na kila timu njia iliyopita mpaka kufika alipo. Kwa upande wangu chelsea kwa timu za spain hana huruma nazo refer atletico pamoja na kuongoza lig alipigwa nje ndani.
Fainali itakuwa chelsea vs psg the winner the blues.
Kwa mnaopenda kubet utajili huo betini
 
PSG hawafurukuti zaidi wanategemea individual brilliance ya Mbappe, na ninavyomfahamu Guardiola atatafuta mfumo utakaomficha huyo Mbappe hataonekana uwanjani kama ilivyotokea kwa Haaland, nampa nafasi Man City kwenda fainali na ikitokea akafika fainali bado nampa City nafasi ya kuwa bingwa kama atakutana na Madrid, City wana ubora wa kikosi Madrid wanabebwa na historia tu.
Guardiola huwa hasumbuki uwanjani kwenda kudhibiti mchezaji mmoja tu Guardiola yeye anatengeneza timu ya kudhibiti timu nzima ila akupige kwa urahisi.

Kazi ya kuzuia mchezaji mmoja huwa ni Mourinho tu.
 
PSG utoto mwingi wanatengendza nafasi 15 wanafunga 1, rudia game ya bayern, Lille na lyon....pia PSG wao wanatefemea individual excellence ya Mbappe na Neymar

pia kiungo chao nje ya Verrati hawana lolote, Madrid akipita au chelsea akipita anamfunga PSG....kwanza sidhani kama atamfunga City
 
Real Madrid ya kipindi kile ni tofauti na hii ya sasa.
real Madrid ni ileile...sema kikosi mkuu.kikosi chamisimu miwili iliyopita sio sawa nahiki currently....real Madrid ni taasisi ,kikosi nichombo kinachofanya kazi ndani ya real Madrid.
 
Dunian sijaona baki wa kumkaba mbape.
ila mbape mpira anapo utoa ndo shidaa. Gardiola aachane na false 9 KDB acheze kati akiwa gundogan na Rodri kazi paris anakufa in and out. ila sasa Gardiola na kichaa chake cha false 9 atatuponzaa
 
Dunian sijaona baki wa kumkaba mbape.
ila mbape mpira anapo utoa ndo shidaa. Gardiola aachane na false 9 KDB acheze kati akiwa gundogan na Rodri kazi paris anakufa in and out. ila sasa Gardiola na kichaa chake cha false 9 atatuponzaa
bora kucheza na false 9 kuliko kuanza na kile kitoto kipumbavu Jesus
 
Guardiola huwa hasumbuki uwanjani kwenda kudhibiti mchezaji mmoja tu Guardiola yeye anatengeneza timu ya kudhibiti timu nzima ila akupige kwa urahisi.

Kazi ya kuzuia mchezaji mmoja huwa ni Mourinho tu.
Nimezungumzia mfumo, mfumo unaotumika ni kuhakikisha wanakata supply ya mipira itayosababisha mikimbio kwa Mbappe ambapo hapo ndio huwa hatari zaidi, sizungumzii kumkaba mtu man to man kama unavyosema kwa Mourinho, ufundi wa Guardiola uko well too far above Mourinho.
 
Kikoje hicho kitoto kilifanyaje
Bora jesus ,aisee sterling ni shati kabisa ...


inaweza kupigwa penetration pass akakimbia mbele yeye na mpira akabaki na kipa ..

Kitakachofuata ni kukokota mpira bila kushoot na kipa anaufuata miguuni anajichukulia yeye anabaki anashangaa
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom