Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Zanzibar 2020 Utabiri: Samia Suluhu kuwa Rais wa Zanzibar, Dkt. Mwinyi kuwa Makamu wa Rais wa Tanzania

Kiukweli hiyo ni ndoto mzuri na very logical
Ratiba ya uchukuaji fomu za urais wa Zanzibar kwa CCM Zanzibar yatoka,
View attachment 1461992
Huku baadhi ya majina na ellectability percentage zao zikitajwa na Binti mmoja wa Kizanzibari.

USIWE WA MWISHO KUWAJUA WATARAJIWA WAGOMBEA URAIS ZANZIBAR
1. Dk. Hussein Mwinyi 75%
2.Haji Omar Kheir 60%
3.Mohamed Aboud 58%
4.Mahamoud Thabit Kombo 53%
5.Dk Khalid Salum 51%
6.Shamis Vuai 50%
7.Dk. Mohamed Dimwa 49%
8.Prof. Makame Mbarawa 48%
9.Mgeni Hassan Juma 47%
10. Balozi Mahadhi 78%
11.Canal Nassor NASA 45%
12.Eng. Yusuf Masauni 43%
13.Issa Haji Gavu 42%
14.Khamis Mussa 41%
15.Balozi Ramia 48%
16. Balozi Mohamed Hamza 40%
17. Salam Aboud Talib 21%
18. Balozi Amina Salum Ally 20%

NB
Tano Bora na Tatu Bora mutajua nyinyi wasomaji by Binti wa Kizanzibari.
My Take
Safari hii, Mhe. Samia Suluhu Hassan hajatajwa kabisa kuwania urais wa Zanzibar kwasababu nafasi aliyonayo sasa ya VP kwa ki hierarchy ya JMT, ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar, hivyo hakuhesabiwa!. Sijui kigezo kilicho tumika kwasababu rais wa sasa wa Zanzibar, Dr. Ali Mohammed Shein alikuwa VP kwa miaka 10 ndipo akaenda urais wa Zanzibar.

Na kwa vile ni muda mrefu Tanzania hatujapata rais wa JMT kutoka Zanzibar, na ile kanuni ya siri ya kupokezana urais wa JMT kwa Mkristo na Muislamu, kuwa akitoka rais Mkristo lazima afuatiwe na Muislamu, na rais Magufuli ni Mkristo, hivyo anayemfuatia ni Muislamu, then Dr. Hussein Mwinyi ana chances kubwa kuvaa viatu vya baba yake Ali Hassan Mwinyi kwa kuwa rais wa Zanzibar 2020-2025, kisha kuja kumpokea Magufuli huku bara 2025

Dr. Hussein Mwinyi ndio fursa nyingine kwa Mzanzibari kuja kuwa rais wa JMT baada ya rais Mwinyi.

Prof. Mbarawa pia Presidential material na niliwahi kum Profile humu,
Prof. Mbarawa ni Presidential material! Tuwaspot na kuwagroom Presidential materials au tumwache tu yeyote awe? - JamiiForums

P
Yaani waifanye hii nchi Kaka ya kwao atoke mwinyi aje mwinyi acheni huo upumbavu ss watanganyika wenye mlengo ule tutapigwa na butwaa
 
Mbona iko wazi hiyo Kaka,kama ulifatilia Bunge la wakati wa Kikwete mbona Wazanzibari walileta hiyo hoja..

Inaonyesha Kuna mengi huyajui,Mkuu
Sir am not good in politics.
Embu nipe link kama unayo ya hiyo taarifa
 
Mbona mpaka leo Tanganyika wamegoma Kufungua ile A/c ya pamoja iliyoelezwa kwenye katiba ya Jamuhuri?
Si kwa kuwa hawataki yajulikane mapato ya Muungano.
Suala la account ya pamoja, kweli bado ni changamoto, kwasababu serikali ya JMT ndio serikali ya muungano kwa mambo yote ya muungano, at the same time, serikali hii hii ya JMT ndio serikali ya Tanganyika kwa mambo yasiyo ya muungano hivyo kwa wizara zote za muungano zina a single budget kwa muungano na Tanzania bara, mfano wizara ya elimu kwa elimu ya msingi sio ya muungano ni Tanzania bara, na wizara hiyo hiyo kwa elimu ya juu ni ya muungano, kwenye budgeting inaandaliwa budget moja.

The same applies kwa mapato, TRA inakusanya mapato yote ya shughuli za muungano na shughuli za Tanzania bara.

Ili ifunguliwe account ya pamoja, ni lazima mapato yote ya muungano yatenganishwe na mapato ya Tanzania bara, halafu hayo mapato ya muungano ndio yafunguliwe account ya pamoja ambayo Zanzibar pia nitachangia. Baada ya kuyajua mapato ya muungano, inatakiwa iandaliwe budget ya kuendesha muungano, mapato ya muungano yasipotosha kugharimia kuendesha muungano, then serikali ya Tanganyika na serikali ya Zanzibar zinachangia kwa uwiano wa asilimia 4.5% Zanzibar na asilimia 95.5% Tanzania bara.

Ili hili liwezekane kwanza lazima tuwe na serikali 3, serikali ya Tanzania Bara, serikali ya Muungano na serikali ya Zanzibar. Mapato yote ya muungano yatatenganishwa na kuweka account ya pamoja ambayo ndio sasa itagharimia muungano.
Jaji Warioba ni muongo?!- BLW halikupendekeza serikali tatu!-Mhe.Pandu Ameir Kificho!.

Solution ya kudumu ya kero ni ni kuwa na serikali moja.
Kama kweli nia ya dhati ni kuimarisha Muungano, Then "Twende kwenye Serikali Moja!".

P
 
Una maana kuongozwa na mwanamke u don't feel uanaume? Yaani unaonesha hata mama yako unamdharau. Hakika mkeo, kama umeoa, na binti zako, kama unao, kwako ni takataka.

Nani kama mama!

DUH, ukistaajabu ya Musa utaona ...
Mwanamke is nothing mbele ya mwanaume toka day 1! Unataka ushahidi wa maandiko ya Biblia au kitabu chochote cha imani?
.
The issue here is hayo matamthilia ya kike kike na sio kingine, acha kuyatizama.
 
Mwanamke is nothing mbele ya mwanaume toka day 1! Unataka ushahidi wa maandiko ya Biblia au kitabu chochote cha imani?
.
The issue here is hayo matamthilia ya kike kike na sio kingine, acha kuyatizama.
Wanawake ni mama zetu na wake zetu au dada zetu.
Kuna wanawake dunia hii hii wameonesha competence kubwa sana hata kuliko wanaume.

Goder Meir Israel
Angela Merkel Ujerumani
Thatcher Margaret Uingereza
These are all iron ladies.

Nadhani ni busara tujikite kwenye hoja na pasi kuwabagua wanawake. Na nadhani ni vema kwenye uongozi wanawake wapewe kuongoza based on competence na sio jinsi.
 
Wanawake ni mama zetu na wake zetu au dada zetu.
Kuna wanawake dunia hii hii wameonesha competence kubwa sana hata kuliko wanaume.

Goder Meir Israel
Angela Merkel Ujerumani
Thatcher Margaret Uingereza
These are all iron ladies.

Nadhani ni busara tujikite kwenye hoja na pasi kuwabagua wanawake. Na nadhani ni vema kwenye uongozi wanawake wapewe kuongoza based on competence na sio jinsi.
Sir Hakuna aliyekataa hayo.

NACHOKATAA MIMI NI MWANAUME KUANGALIA TAMTHILIA ZENYE MAUDHUI YA KUMLAINISHA! nadhani tunaelewana.
 
Teh teh kulainishana tena
Mlenda kabisa.
Mwanaume ameketi kwenye sopha na mkewe, watoto, shemeji yake, mdogo wake (wakiume) wanaangalia sultani ahahahaha!

Enzi za mzee wangu yuko on fire anakufumua utaugulia maumivu siku mbili, nina mtoto mmoja wakiume yeye akiona tamthilia za kihindi, kifilipino, kilatin zile zilizotafsiriwa kiswahili anaenda zake kusoma au anaenda kukaa kwenye computer anacheza game.
Sijawahi kumwambia asiangalie tamthilia zakike na najua hadi sasa atakuwa anaendelea kufanya hivyo, huyu ndo mwanaume sasa.
 
Umesharendemka sio kosa lako.
Acha kuangalia hayo tafuta horror movies.
.
Alafu acha kunipa links za nyuzi zangu zisome utapata funzo watu ni ma-legendary.

Kwa hiyo wazazi wa sasa watoto wenu wakiwaomba hela muwape na maswali ya "Unataka hela ya nini?" tuache, Yanawatia hofu na kuamua kuzisaka kwa akili zao ndio hapo wanaiba, nyakati zimebadilika watakuja kufanya tulivyofanya sisi miaka hiyo wakione cha moto.
 
Indonesia ina Wasialamu wengu Dunian kuliko nchi yoyote na isha ongozwa na mwanamke


Zanzibar kuna mfumo dume kama hujui, Wewe uliona Zanzibar mwanamke aliyeolewa anakwenda kuhemea sokoni??, huo ni mfano mmoja tu.
 
Mkuu Chabuso, kusema ukweli, elimu ya uraia inahitajika sana, hizo sio sababu, huna haja ya kutumia maneno makali kama ufedhuli, wala sababu ya rais wa Zanzibar kuondolewa umakamo wa rais sio ilifanywa kwa madhumuni ya kupunguza nguvu za Zanzibar katika Muungano bali kuulinda muungano.

Sababu halisi ni kuwa, rais wa Zanzibar alikuwa Makamo wa rais na mjumbe wa cabinet, and just incase anything happens kwa rais, Makamo wa rais anaapishwa kuwa rais.

Sasa kufuatia Tanzania kuingia mfumo wa vyama vingi ile 1992, kukawa na uwezekano wa Zanzibar kuwa na chama tofauti na Bara, hivyo rais wa Zanzibar ambae ni from opposition ataingia kwenye cabinet na just incase if anything happens kwa rais wa JMT, makamo wa rais ambaye ni opposition anaapishwa kuwa rais wa JMT. Hivyo wakabadili katiba na rais wa Zanzibar is nobody kwenye set up ya muungano, hivyo hata CUF ingechukua Zanzibar, JMT ni salama.

Ili kumpa heshima rais wa Zanzibar, Rais wa JMT atamteua kuwa Waziri asiye na Wizara maalum, ili aingie kwenye cabinet, Komando aligoma hata kuapishwa, Karume na Dr. Shein wamekubali uteuzi na wakaapishwa kama mawaziri wasio na wizara maalum, ila wamesusia kuhudhuria vikao vya cabinet.

Usikute ndio maana kuna fulani huwa anashinda lakini hapewi!.
P
Mkuu, katiba inasema Rais wa Zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri kwa nafasi yake chini ya uenyekiti wa Rais wa Jamhuri ya Muungano. Haitaji kuwa waziri au waziri asiyena wizara.

Wengine ni makamu wa rais, waziri mkuu na mawaziri wake isipokuwa manaibu waziri hawana sifa ya kuingia kwenye cabinet
 
Back
Top Bottom