Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Utabiri: Siku chache zijazo itatokea ajali ya Ndege ya abiria

Kuota mambo ambayo yamepangwa kwenye ulimwengu WA roho inamanisha you have part of that spirit ambazo zimepanga yatokee au spirit ambayo inaweza kuona huo mpango . So swala SIo kutabiri swala ni roho ipi inahisika?
Kuota mambo ambayo yamepangwa kwenye ulimwengu WA roho inamanisha you have part of that spirit ambazo zimepanga yatokee au spirit ambayo inaweza kuona huo mpango . So swala SIo kutabiri swala ni roho ipi inahisika?
Tulikosea ilibidi tuombe tupinge hio ajali isitimie katika ulimwengu wa mwili.
 
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Ulimbiwa uombe ajali isitokee, sio umuite mtabiri mpumbavu. Unatakiwa kufahamu kuwa ujumbe si lazima upitie kwa walokole wenzako. MUNGU anaweza tumia hata mpagani kufikisha ujumbe.
 
Ajali bado imetokea lakini wabongo bado wanataka yangetokea vile vile kama jamaa alivyoota.

Hafu mkumbuke pia jamaa hapo chini aliomba kuwa Mungu aepushe iyo kitu isitoke.

Sasa watu wanauliza mbona ijakatika vipande viwili,sasa jamani mlitaka na ikatike vipande viwili hafu iweje watu wafe au? jamaa kapatia mule mule aliomba kwa Mungu aepushe iyo ajali Mungu naona kaachia ajali itokee ila isiwe ya kutisha ili watu wa amini maono ya jamaa ni kweli.
Kuna watu wa ajabu sijui akili haziwatoshi yaani wanataka itokee kama alivyosema jamaa yaani hawaelewi maana ya utabiri
 
Kati ya watu wote wa mwanzo kukomenti, Mzee wa Kilinge ulikomenti kwa kulinda heshima yako[emoji122]
Mzee tuko msibani alafu unatuchekesha aise🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom