Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 672
- 860
Itanibidi nisafili mwakani....View attachment 2397466
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itanibidi nisafili mwakani....View attachment 2397466
Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
Kuota mambo ambayo yamepangwa kwenye ulimwengu WA roho inamanisha you have part of that spirit ambazo zimepanga yatokee au spirit ambayo inaweza kuona huo mpango . So swala SIo kutabiri swala ni roho ipi inahisika?
Tulikosea ilibidi tuombe tupinge hio ajali isitimie katika ulimwengu wa mwili.Kuota mambo ambayo yamepangwa kwenye ulimwengu WA roho inamanisha you have part of that spirit ambazo zimepanga yatokee au spirit ambayo inaweza kuona huo mpango . So swala SIo kutabiri swala ni roho ipi inahisika?
Ulozi na unabii vinaendana kidogoNabii au mlozi
Ulimbiwa uombe ajali isitokee, sio umuite mtabiri mpumbavu. Unatakiwa kufahamu kuwa ujumbe si lazima upitie kwa walokole wenzako. MUNGU anaweza tumia hata mpagani kufikisha ujumbe.Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Huu wako Ni utabiri uchwara😂Sasa mtu akisema mimi nitakufa, nikifa kweli ndio awe mtabiri.. 😂
Haya mie nasema kuanzia sasa hivi mpaka mwakani atakufa mtu maarufu. 😂
Ndugu wa kwa jina Yesu upo?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Mpendwa punguza matusiWewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Ndege ilikuwa na mtoto mmoja, je utabiri huu uko sawa au tusubirie mwingine?Ndugu wa kwa jina Yesu upo?
Kuna watu wa ajabu sijui akili haziwatoshi yaani wanataka itokee kama alivyosema jamaa yaani hawaelewi maana ya utabiriAjali bado imetokea lakini wabongo bado wanataka yangetokea vile vile kama jamaa alivyoota.
Hafu mkumbuke pia jamaa hapo chini aliomba kuwa Mungu aepushe iyo kitu isitoke.
Sasa watu wanauliza mbona ijakatika vipande viwili,sasa jamani mlitaka na ikatike vipande viwili hafu iweje watu wafe au? jamaa kapatia mule mule aliomba kwa Mungu aepushe iyo ajali Mungu naona kaachia ajali itokee ila isiwe ya kutisha ili watu wa amini maono ya jamaa ni kweli.
Tulia mzee, we ikifika desemba 31 2023 hajafa mtu mkubwa, nitoke jf 😂🤣Huu wako Ni utabiri uchwara😂
Nipo ndugu mloziNdugu wa kwa jina Yesu upo?
Mzee tuko msibani alafu unatuchekesha aise🤣🤣🤣🤣🤣Kati ya watu wote wa mwanzo kukomenti, Mzee wa Kilinge ulikomenti kwa kulinda heshima yako[emoji122]
Ha ha ha ha hatari na nusuHabari ya kusikitisha ni kwamba mleta utabiri alikuwa ndani ya ndege hii hii iliyopata ajali.