Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
MmmmhhhhSasa tutabirie.. MATESO YA UTAWALA HUU YATAISHA LINI.. Ukitabiri yataisha hivi karibu ni nina milioni moja yako...
Unajisikiaje hapo ulipo?Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Ubishi wako tu ajari imetokea haijatokea?Nyie wadada ndo maana mnadanganywa sana na kutapeliwa kirahisi. Ndege iliyokatika katikati ipo wapi? Watoto waliokufa? Nembo nyekundu? Jamani tumieni akili kufikiria siyo masaburi.
Haya ndugu mshindi weweUtabiri haujatimia, huyu jamaa alisema ndege itakatika vipande viwili na ndege ina beji nyekundu. Lakini sio kweli vyote hivyo
Tuache upuuzi watanzania
Tatizo afya ya akili mkuu na umasikini ndo unatumaliza.Wabongo bwana kuna watu wanajidai wanaijua sana dini na wanamjua sana Yesu,mtu kaeleza ya kwake badala ya kumuuliza nini kimemsukuma aseme hivyo mtu anakimbilia kutukana mara ooh kwa Jina la Yesu..kwamba wewe ndiye una imani sana ?
Kuhusu rangi ya ndege na matukio mengine aliyosema itoshe tu kusema tukubali jamaa alitoa utabiri wake ambao ni ndege kuanguka.
Swala la kutafsiri kila kitu kwa ufasaha ni ngumu haijalishi utabiri wa mtabiri unatokana na nguvu ya Mungu au la !
Kwa Wakristu kuna kitabu kinaitwa UFUNUO, kila mmoja ana tafsri ya ufunuo ule,ukienda kwa Msabato atakuambia hivi,ukienda kwa Mpentekoste anakuambia vile,ukienda kwa Mkatoliki naye ana tafsri yake.
Hivyo hakuna haja ya kumbeza. Maana utabiri wake mkuu ni ajali ya ndege hayo mengine ni maelezo ya nyongeza ambayo pengine ameshindwa kuyatafsiri vizuri ili ili kuwa sawa na utabiri wake.
Kuna mtu utakuta anapinga kwa nguvu na kutukana lakini kanisani kwake katabiriwa mwaka huu ataolewa/atajenga nyumba/atapata kazi n.k yasipotokea ndani ya mwaka husika haendi kumkosoa kiongozi wake aliyemtabiria badala yake anaendeleza kuwa na imani. Lakini hapa kwa jamaa utakuta mtu yule yule anajidai mkali na kutukana ovyo.
Tujifunze kuheshimu watu,kama alichoongea kipo kinyume na uelewa/mtazamo wetu basi tuhoji na sio kutukana ovyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mpaka hapa mkuu atajipatia watu wengi PM. Fursa hii mleta mada. Piga hela. Na waliokutukana wachaj hela kubwa.
Baada ya wiki moja, ndege ya Precision ikatua kwenye Maji na kusababisha vifoHakuna kitu kama hicho
Na umesogea kweli kutoka page 4 mpaka 26Mmefukua uzi wa jamaa fasta
Kwel mkuuUkitak kujua Binaadam ana wivu na roho mbaya we angalia wanaopinga huu utabiri.
Roho za Wivu na kichawi.
Utabiri si lazima utimie wote. Ishu ni dhima kuu ambayo ni AJALI na tyr ishatokea