RungulaBwana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2018
- 219
- 352
Wewe ni mpumbavu hakuna ajali itakayotokea IN JESUS NAME
Navunja roho zote chafu
Na kulifunika anga lote kwa damu takatifu ya YESU! Amen
Jamaa hana akili na hii ni chai ngoja nisogeze maandazi.Mwangalieni kwa jicho la 2View attachment 2397724
Africa kumejaa pimbi sana, wenzako wako bise kujaribu kwenda kuishi anga za juu nyie mko bise na tabiri za kupimbiSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo...
Acha uwakala wa shetani. Kila nafsi itaonja mazuri. Tambua nawewe hutoishi mileleSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ...
🤣🤣Sheikh Yahya bado upo duniani?
.
Mkuu umeomba vizuri ila kulikuwa na haja gani ya kumtukana jamaa?
Mzee wa abracadabraSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Unapingana na NABII eeeh?Hakuna kitu kama hicho
Umeshahitimisha itatokea, kivipi tena tuombe isitokee.Salaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ya abiria ambayo itasababisha vifo vya watu ikiwemo watoto wadogo. Tuombe Mungu aepushe lakini kama ni maandiko basi yatimie.
1. Ndege itakuwa na Logo yenye rangi nyekundu.
2. Ndege itakatika vipande viwili katikati.
3. Maiti au majeruhi wa mwanzo kuokolewa watakuwa watoto.
Tusaidiane kuomba Mungu kwa pamoja ili ikiwezekana ajali hiyo isitokee
Manabii wa Uongo, huyo ni Agent wa shetaniUnapingana na NABII eeeh?
maharage ya ukweni vijana wana stress sana za maisha mpaka wamekuwa wapiga ramli, kijana unakuwa mshirikina alafu tena unaanza na Asalam aleikumSalaam Aleykum
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,nasikitika kusema kwama siku chache zijazo kutatokea ajali ya ndege kubwa ...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu umeota au!!? Ukiwa umelala usiku usipende kuacha redio inaongea maana unaweza kuta walikua wanatoa dondoo za vita huko ukrain ukavijumlisha kwenye ndoto ukaja kusema ni utabiriView attachment 2397537
.Hebu shuka hapo chini
Mit 26:4-12 SUV
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Usije ukafanana naye. Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake. Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu Hujikata miguu, na kunywa hasara. Miguu yake achechemeaye huwa dhaifu; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Kama mfuko wa vito katika chungu ya mawe; Kadhalika mtu amheshimuye mpumbavu. Kama mwiba uingiao katika mkono wa mlevi; Kadhalika mithali katika kinywa cha mpumbavu. Fundi stadi hufanyiza vitu vyote; Bali amwajiriye mpumbavu ni kama awaajiriye watu wapitao. Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena. Je! Wamwona mtu mwenye hekima machoni pake mwenyewe? Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye.