Utabiri: Simba anapigwa 5 _0 na Orlando pirates

Huo utabiri ulikuwa kabla ya Vita vya Urusi na Ukraine ila kwasasa ni kuwa utabiri unaonyesha Simba atashinda 4-0
 
Friends of Orlando Pirates tujuane mapema. Mwalimu alisema Afrika ni moja na hawa ni ndugu zetu kabisa.
 
Mimi nawatahadharisha CAF ambao wataleta hizi mashine za VAR, ikiwezekana wawalete na walinzi special kwa ajili ya ulinzi wa VAR maana hakuna Timu Ina mashabiki wezi, waporaji, wang'oa viti kama Makolo.. Naamini CAF wasipokuwa makini hizi mashine za VAR zote zitaibwa na Mashabiki wa Simba, coz hii match wanaenda kupoteza kwa mabao mengi sana maana Yale magoli Yao ya Offside hayatokuwepo tena dadeq.
Ushahidi adhim kabisa upo na tumeona hata kwenye match zao za makundi kule Morocco, Sijui huko Instan bull Kuna vifaa vingi vilipotea ndani ya uwanja na ni dhahiri kuwa wachezaji wa Kolo FC waliiba. Tahadhari ni muhimu isije ikatokea kama ya kule Nigeria Kikosi cha Simba, benchi lao la ufundi na Mashabiki wote ni wezi sana😁😁
 
Time will tell
Kuna utopolo mwenzako juzi alitabiri kwamba Simba anafungwa na US Gendermarie hadi akatoa laki mbili kwa sheikh ili amfanyie utabiri. Aliahidi mambo mabaya endapo simba atashinda.

Kilichotokea Gendermarie alivutishwa pumzi ya moto kwa kipigo cha mbwa koko 4 kwa bila.

Burudani inayotolewa na Simba hadi CAF wamenogewa wakaamua kuruhusu mashabiki 60,000 full house kuishangilia Simba.
 
Bebii kumbe na wewe ni wa msimbazi Kama Mimi..Safi sana

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Yaani mtu mzima mwenye akili timamu mwenye mapenzi na nchi yake anaweza kuposti kitu kama hiki
Na hata kama umshabiki wa Yanga unatakiwa ujue faida za timu kuwaakilisha taifa bila kujali ni timu gani
Mimi sio mshabiki wa Simba ila naifuatilia Simba kwa sasa kama mwakilishi wa Taifa
Natamani upate ban ya miezi tatu!!! uli ujifunze!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…