Utabiri: Simba atadroo wakati Yanga atashinda huko katika mechi za kimataifa

Utabiri: Simba atadroo wakati Yanga atashinda huko katika mechi za kimataifa

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Baada ya kupatia utabiri wangu wa wiki iliyopita leo tena nawasogezea utabiri wa mechi za weekend hii kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa.

Simba ambayo inashuka dimbani leo, itatoa droo ya 1-1 dhidi ya Raja Casablanca. Kutakuwa na red card pia katika mchezo huo.

Yanga ambayo inashuka dimbani jumapili, itaibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Tp Mazembe.

Huu ni utabiri tu, tena wa kwa mtazamo wangu, hivyo msijenge chuki...
Cc: CAPO DELGADO
 
Na hii usisahau kutoka maktaba Moja Kati ya tabiri bora kuwahi kutokea hapa Jf ikiongozwa na uono wa kitakwimu Kibu D Vs Mayele
IMG_20230218_104308.jpg
 
Asante sana mkuu Bruno Guimares .

UTABIRI wa Leo pia Umeniumiza
Kama Simba ata Draw Hiyo 1-1
LAWAMA zote nitazipeleka kwa MO.

Quality ya Wachezaji wa Simba ni ndogo sana inabebwa sana na Chama, sakho, Inonga na Saidoo.

Wachezaji walioondoka wa maana Bwalya, Lwanga, Mugaru, kagere, Miquesson, Wawa, Dilunga nk
Wamakosa proper replacement.

MWAMEDI NI CHUPLI SANA
 
Baada ya kupatia utabiri wangu wa wiki iliyopita leo tena nawasogezea utabiri wa mechi za weekend hii kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa.
Sio kila siku ni Jumatano. By the way, mechi zilizopita zilikuwa zinatabirika
 
Baada ya kupatia utabiri wangu wa wiki iliyopita leo tena nawasogezea utabiri wa mechi za weekend hii kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa.

Simba ambayo inashuka dimbani leo, itatoa droo ya 1-1 dhidi ya Raja Casablanca. Kutakuwa na red card pia katika mchezo huo.

Yanga ambayo inashuka dimbani jumapili, itaibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Tp Mazembe.

Huu ni utabiri tu, tena wa kwa mtazamo wangu, hivyo msijenge chuki...
Cc: CAPO DELGADO
Simba 2-1 Raja

Yanga 1-1 Mazembe
 
Baada ya kupatia utabiri wangu wa wiki iliyopita leo tena nawasogezea utabiri wa mechi za weekend hii kwa wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya kimataifa.

Simba ambayo inashuka dimbani leo, itatoa droo ya 1-1 dhidi ya Raja Casablanca. Kutakuwa na red card pia katika mchezo huo.

Yanga ambayo inashuka dimbani jumapili, itaibuka na ushindi wa magoli 2-0 dhidi ya Tp Mazembe.

Huu ni utabiri tu, tena wa kwa mtazamo wangu, hivyo msijenge chuki...
Cc: CAPO DELGADO
Kwa tulichokifanya usiku wa kuamkia Leo Mungu atusamehe bure...Raja wamekanyaga miiba.
 
Vipo matokeo yasipokuwa kama ulivyotabiri tukuite bilihuda cheupe?
 
Simba hana uwezo wakupata hiyo sare kwa Raja... Kikosi cha Simba ni kibovu+kocha mwenye wenge 😅😅
 
Back
Top Bottom