Utabiri: Simba bingwa wa CAF 2023

Mkishaingia dimbani kila timu ina korodani 22 upande wake, gharama za mchezaji hazihusiki, ni suala la boli kutembea tu.
 
Lolote linawezekana Simba. Mwaka ule tulifika fainali ya CAF na wachezaji wa kawaida tena Utopolo wakiwa mabingwa
Embu waambie hawa Uto. Hawajui watu tumewahi kucheza huku kombe la CAF lipo uwanjani linasubiri mshindi.
 
Ila wewe jamaa utafikiri wale wanaodai Katiba Mpya kwenye jukwaa la Siasa.
 
Mkishaingia dimbani kila timu ina korodani 22 upande wake, gharama za mchezaji hazihusiki, ni suala la boli kutembea tu.
Hawa wachezaji wako wa Mia Mia Hawa!!
 
Sijakuelewa unamaanisha bingwa wa caf ya lipumba ama caf ipi labda?
 
Mimi huwa nikisema natukanwa. Haya oneni wenyewe madhara ya matumizi ya madawa[emoji23][emoji23]

Ile kitu ya Msimbazi inamaliza ndugu zetu. Halafu inaonekana wanaikamia sanaView attachment 2480933
Sidhani kama kumewahi kuwa na tuhuma au tetesi za mtumiaji wa madawa ndani ya Simba. Ganja watumiaji wapo wengi hadi Uto mnao na sijawahi kuihesabu kama drugs.
 
Ila mkuu unanifurahishaga...inamaana Simba hawakusikii tuu toka uanze kuhubiri hili

Mhhh kalpana.

VIONGOZI wenyewe so wasikivu.

Ni viongozi wajanja janja, wao wanachojua ni kunufaisha matumbo Yao kwa njia za Udalali, Mishahara feki, usajili, getti collection nk.
 
Mhhh kalpana.

VIONGOZI wenyewe so wasikivu.

Ni viongozi wajanja janja, wao wanachojua ni kunufaisha matumbo Yao kwa njia za Udalali, Mishahara feki, usajili, getti collection nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…