Utabiri: Simba bingwa wa CAF 2023

Utabiri: Simba bingwa wa CAF 2023

Timu zinazoweza kushindania kombe lolote iwe CAF au UEFA lazima ziwe na top players nje ya hapo tuendelee kubishana Mambo yetu ya kipuuzi ya kwenda Dubai tu...., Timu inayoshindwa kufanya usajiri hata wa 300m ichukue kombe 😅😅. Utajikojolea amka usingizini...
Mkishaingia dimbani kila timu ina korodani 22 upande wake, gharama za mchezaji hazihusiki, ni suala la boli kutembea tu.
 
Lolote linawezekana Simba. Mwaka ule tulifika fainali ya CAF na wachezaji wa kawaida tena Utopolo wakiwa mabingwa
Embu waambie hawa Uto. Hawajui watu tumewahi kucheza huku kombe la CAF lipo uwanjani linasubiri mshindi.
 
Nilitegemea Simba Ili wafike Angalau Nusu failani ya CAF.
Lazima uachane na wachezaji wafuatao.

Nelson Okwa.
Victor Akpan.
Sadio Kanute.
Mohamed Ottara.
Peter Nada.
Okra.

Wachezaji wa Nyumbani.

KIBU Denis.
Habib Kyombo.
Erasto Nyoni.
John Boko. Na
Gadiel Michael.

Hawa wachezaji Kwa sasa hawana Hadhi ya kuwa Simba.
Hawawezi kufika Nusu Fainali.
Ila wewe jamaa utafikiri wale wanaodai Katiba Mpya kwenye jukwaa la Siasa.
 
Mkishaingia dimbani kila timu ina korodani 22 upande wake, gharama za mchezaji hazihusiki, ni suala la boli kutembea tu.
Hawa wachezaji wako wa Mia Mia Hawa!!
 
Natoa utabiri huu nikiwa na akili zangu timamu na upeo wa kutosha kuhusu mpira wa miguu.

Mwaka huu 2023 ndiyo mwaka historia mpya inaenda kuandikwa kwa Simba kuchukua kombe la CAF Champions League.

Najua kuna wapenzi wa Simba bado wanalilia kuona usajili mpya ili kuboresha timu ila ngoja nikwambie kitu. Inashangaza watu wanalilia wachezaji waondolewe ambao hata siyo tegemeo kwa timu.

Championship team katika mashindano yoyote, vilabu, taifa inahitaji wachezaji 13 hadi 15 tu wa kutegemea, yaani first 11 na sub 2 hadi 4 zinazoweza kuongeza nguvu pale inapohitajika. Simba timu hiyo wanayo.

Ambacho mimi ningefanya ni kuangalia jinsi ya kuboresha upande wa beki wa kushoto, mipira mingi inapotea kutokea kule. Ikibidi nngemsogeza Zimbwe mbele kama winger anaweza kufanya vizuri zaidi position hiyo. Kwa kuongezea tu Outtara ni mchezaji mzuri ni suala la kuangalia tunamtumiaje.

Ila wachezaji 15 wa kusumbua CAF tunao.
Sijakuelewa unamaanisha bingwa wa caf ya lipumba ama caf ipi labda?
 
Mimi huwa nikisema natukanwa. Haya oneni wenyewe madhara ya matumizi ya madawa[emoji23][emoji23]

Ile kitu ya Msimbazi inamaliza ndugu zetu. Halafu inaonekana wanaikamia sana
JamiiForums1097668034.jpg
 
Mimi huwa nikisema natukanwa. Haya oneni wenyewe madhara ya matumizi ya madawa[emoji23][emoji23]

Ile kitu ya Msimbazi inamaliza ndugu zetu. Halafu inaonekana wanaikamia sanaView attachment 2480933
Sidhani kama kumewahi kuwa na tuhuma au tetesi za mtumiaji wa madawa ndani ya Simba. Ganja watumiaji wapo wengi hadi Uto mnao na sijawahi kuihesabu kama drugs.
 
Ila mkuu unanifurahishaga...inamaana Simba hawakusikii tuu toka uanze kuhubiri hili

Mhhh kalpana.

VIONGOZI wenyewe so wasikivu.

Ni viongozi wajanja janja, wao wanachojua ni kunufaisha matumbo Yao kwa njia za Udalali, Mishahara feki, usajili, getti collection nk.
 
Mhhh kalpana.

VIONGOZI wenyewe so wasikivu.

Ni viongozi wajanja janja, wao wanachojua ni kunufaisha matumbo Yao kwa njia za Udalali, Mishahara feki, usajili, getti collection nk.
20230114_170230.jpg
 
Back
Top Bottom