Utabiri: Simba bingwa wa CAF 2023

Labda Bingwa kombe la mapinduzi Zanzibari
 
Huu utabiri wako, ulimaanisha msimu huu 2023/24 au uliopita 2022/23?. Maana maneno Yako ya wakati ule ni kama ulimaanisha msimu uliopita. Ila maneno ya Leo ni kama umehamia msimu huu.
Utabiri ulikuwa unahusu msimu wa 2022-2023 ndiyo maana post yangu ya leo ikakumbushia kuwa kama niliweza kutabiri vile bila kuwa na Che Malone, Fabrice Ngoma, Benchikha na maboresho yatakayofanyika hili dirisha dogo, waza itakuwaje msimu huu unaoendelea.
 
Kwa unavyoiona timu Yako, kuna dalili zozote njema zinazoashiria utimiaji wa bashiri zako?
 
Aisee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…