Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kina Paul KagomaYaah nackia timu haikua na wachezaji wa substitution
Hao Tushawazoea hawanaga Jema.Kuna watu wanasema mlipiga bomu mortuary
Ndo Nan mkuu
Ila kweliInategemeana na kichapo
Yaani wewe unawadhalilisha Mashabiki wa Yanga, Kuposti kila thread kumuongelea Mpinzani wako kila nyuzi nikuonesha kuna kitu kwenye akili yako kina kasoro. Siku nyingine mtaje hata Tanzania Prison au Ihefu wewe kila siku in Simba tu??Ikitokea Club wa Simba kufungwa na Yanga basi naona kabisa itafikia makubaliano ya kuachana na kocha wao Raia wa Afrika Kusini Fadlu Davis.
Baada ya Simba kukandwa....kula chuma 6_0
Sorry nafanya mazoezi ya kupost hii taarifa mwezi ujao]
Ikitokea Club wa Simba kufungwa na Yanga basi naona kabisa itafikia makubaliano ya kuachana na kocha wao Raia wa Afrika Kusini Fadlu Davis.
Baada ya Simba kukandwa....kula chuma 6_0
Sorry nafanya mazoezi ya kupost hii
hahahahahahahahahahahahahaha........
duh!
uangalie mkuu hayo mazoezi yako.
Kweli mkuu...Ngoja waende huko Kwa looser cup
Mnapofungwa na IHEFU huwa mnakuwa mmecheza na timu gani?Mmecheza na timu gan?[emoji23]
Lucas Mwashambwa katika ubora wako.Inategemeana na kichapo