Utabiri: Simba kesho tarehe 03 Aprili 2021 itafungwa na AS Vita

Utabiri: Simba kesho tarehe 03 Aprili 2021 itafungwa na AS Vita

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣upuuzi mtupu!
Mimi ni shabaki kindakindaki na mpenzi na mwanachama wa klabu pendwa hapa nchini natabiri kuwa simba ambayo ni timu yangu hapo kesho majira ya saa kumi alasiri ndani ya LUPASO (Mkapa Stadium) timu yangu pendwa ya simba tutafungwa goli 2 kwa 1 na timu ya AS Vita. Naomba kuwasilisha wanamsimbazi wenzangu.

#Simba nguvu1
BAADA YA MECHI MJE MTOE USHUHUDA HAPA
 
Enzi za akina mfalme Nebuchardinezer watu kama wewe mlikua mnatupwa kwenye bwawa la mamba wenye njaa ya siku 7.
 
Mimi ni shabaki kindakindaki na mpenzi na mwanachama wa klabu pendwa hapa nchini natabiri kuwa simba ambayo ni timu yangu hapo kesho majira ya saa kumi alasiri ndani ya LUPASO (Mkapa Stadium) timu yangu pendwa ya simba tutafungwa goli 2 kwa 1 na timu ya AS Vita. Naomba kuwasilisha wanamsimbazi wenzangu.

#Simba nguvu1
BAADA YA MECHI MJE MTOE USHUHUDA HAPA
Updates: mpira umeisha hongera timu yangu ya simba kwa kutinga robo fainali. Uzi umefungwa utopolo mtaisoma namba kwakweli mwaka huu
ona sasa ulivo aibika kwani ukiwa utopolo ndio ndio na akili unakosa njoo ufute uchafu wako
 
Bila ufala wa Mugalu leo mtu angekula 7.
 
Back
Top Bottom