Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ww anzisha
Wakitolewa wanarudi kwenye ligi zao tu hakuna kutupwa shirikisho. Ila mimi naamini wote wataingia robo fainaliYaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.
Yaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.
Aliyekuambia usipofuzu robo unaenda shirikisho ni nani?Yaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.
Unatumia vigezo gani?Yaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, povu ruksa.
Hakuna shirikisho siku hizi kwa zile timu zinazotolewa CLYaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.
Mmoja na IHEFU mmoja na YANGA.Shirikisho lipi? Ni wanarudi kucheza na Ihefu
kumekuchaaaa daaa hi ndio bongo kwelii hovyo kabisaaYaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.
Simba Makundi ni lazima, hakuna wa kuzuia.Labda yanga ila simba sisi hata angebaki cadena tungefuzu[emoji16][emoji16][emoji16] angalia rekodi zetu hapo behind
Tukifika tu makundi imeenda
Yaani nionavyo mimi hizi timu hazifiki popote pale, zitaishia kwenye makundi tu au zitupwe shirikisho huko.
Uzi tayari, kama una kaza fuvu sawa.