Utabiri: Simba SC kuibuka na ushindi mnono Jumamosi

Utabiri: Simba SC kuibuka na ushindi mnono Jumamosi

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Kesho Simba sc bingwa mtetezi ligi kuu Tanzania bara na mtegemewa pekee katika mechi za kimataifa, ataparurana na wanatamtam Mtibwa sugar kutoka Manungu mkoani morogoro katika muendekezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Mchezo wa kesho ni mgumu sana kwa Mtibwa licha ya kuwa nyumbani, kwa nini nasema ni mgumu kwa mtibwa? Huu mchezo wameukamia sana wakitaka kuonyesha kile walicho kifanya Mbeya city.

Mtibwa hawana quality kiuchezaji msimu licha ya kuloga sana. Simba wamejianda vilivyo nje na ndani ya uwanja kesho mnyama ataibuka na ushindi usiopungua goli tatu na kuendelea. Kuna mahali tuliteleza dhidi ya mbeya city wakatuzidi ujanja sasa tumerudi imara zaidi kazi Iendelee.
 
Mkumbuke huu ni mpira wa miguu na ligi yetu Ina ushindani mkubwa kuliko Mapinduzi cup, Nawakumbusha mpira hauchezwi mdomoni.
 
Hata hivyo ushindi wenu uwaga haunogi maana mambo yenu ya Red cad na penality kwa wapinzani wenu yamezoeleka sasa. Kushindwa kwenu lazima mpewe tuta au mpinzani apunguzwe kwa red card au vyote kwa pamoja, site tu mashahidi, hivyo hamna jipya.
Unazijua vizuri sheria 17 za mpira wa miguu?
 
Kesho Simba sc bingwa mtetezi ligi kuu Tanzania bara na mtegemewa pekee katika mechi za kimataifa, ataparurana na wanatamtam Mtibwa sugar kutoka Manungu mkoani morogoro katika muendekezo wa ligi kuu Tanzania bara.

Mchezo wa kesho ni mgumu sana kwa Mtibwa licha ya kuwa nyumbani, kwa nini nasema ni mgumu kwa mtibwa? Huu mchezo wameukamia sana wakitaka kuonyesha kile walicho kifanya Mbeya city.

Mtibwa hawana quality kiuchezaji msimu licha ya kuloga sana. Simba wamejianda vilivyo nje na ndani ya uwanja kesho mnyama ataibuka na ushindi usiopungua goli tatu na kuendelea. Kuna mahali tuliteleza dhidi ya mbeya city wakatuzidi ujanja sasa tumerudi imara zaidi kazi Iendelee.
Usisahau pia kuna red card na penati.
 
Mimi ni Simba kama wewe, Ila nakuambia hatuna uwezo wa kumfunga Mtibwa Sugar bao 3 pale manungu.. hatuna uwezo huo kabisa.. Hii game ni ngumu sana na Mtibwa Sugar hawatokuwa hawa we unawajua.. kikubwa we omba point 3 tu hata kwa bao moja.. la sivyo naiona Draw mapema sana😛😛😛😛😛

Wananchi oyeeeeeH👏👏👏
 
Mkumbuke huu ni mpira wa miguu na ligi yetu Ina ushindani mkubwa kuliko Mapinduzi cup, Nawakumbusha mpira hauchezwi mdomoni.
Hicho ndo kinachowacost makolo.Wanachonga sana ukiangalia uhalisia sasa UNACHEKA TU
 
Mimi ni Simba kama wewe, Ila nakuambia hatuna uwezo wa kumfunga Mtibwa Sugar bao 3 pale manungu.. hatuna uwezo huo kabisa.. Hii game ni ngumu sana na Mtibwa Sugar hawatokuwa hawa we unawajua.. kikubwa we omba point 3 tu hata kwa bao moja.. la sivyo naiona Draw mapema sana😛😛😛😛😛

Wananchi oyeeeeeH👏👏👏
Wanapasuka nyingi sana 💪💪
 
Jumamosi si ndio leo
Ngoja tuzisubirie hizo goli nyingi kipindi cha pili. Maana ndani ya dk 45 za kwanza, mambo yamekuwa ni magumu kwa pande zote.

Nb: Mtibwa imeimarika kwa kiasi fulani baada ya kumrejesha mwalimu wao zamani (Salum Mayanga) kikosini. Na kiukweli nawatakia ushindi wa aina yoyote ile! Hata kale kagoli kamoko tu.......!!!!
 
Mimi ni Simba kama wewe, Ila nakuambia hatuna uwezo wa kumfunga Mtibwa Sugar bao 3 pale manungu.. hatuna uwezo huo kabisa.. Hii game ni ngumu sana na Mtibwa Sugar hawatokuwa hawa we unawajua.. kikubwa we omba point 3 tu hata kwa bao moja.. la sivyo naiona Draw mapema sana😛😛😛😛😛

Wananchi oyeeeeeH👏👏👏
Wewe ni noma, umetabiri ukweli kabisa
 
Back
Top Bottom