huu ni Utabiri wa ovyo kabisa kuwahi kutolewa.HUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.
(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.
(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%
Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.
(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO
(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%
Spika wa Bunge Zitto Kabwe.
MWISHO WA UTABIRI
Mkuu kwanini umekuwa na mtazamo huo.Labda tu nikuhakikishie binafsi hata Mimi ninayetabiri sifurahishwi na utabiri huu,lakini ni lazima tukubali hali halisi.huu ni Utabiri wa ovyo kabisa kuwahi kutolewa.
Kivipi mkuu.UTABIRI Fweki
Mchakato wa katiba mpya tumetangaziwa na mamlaka kwamba ni baada ya elimu ya miaka mitatu.Kwa vyovyote vile katiba mpya haitarajiwi kabla ya October 2025.Kinachowezekana walau mpaka wakati huo ni minimum reform kwenye sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi.Ndiposa nikatabiri kitakachotokea katika mazingira hayo.Kama 2026 ni mwaka wa kupatikana na kukamilika KATIBA mpya,
Ni dhahiri 2025 hapatakuwa na uchaguzi wowote wa HAKI Kutoa mshindi.
Ni sawa na kusema Uchaguzi hautofanyika.
Hivyo unaweza kuwa sawa ingawa,
Wa kwanza HATOGOMBEA labda umlazimishe wewe kwenye chama chako kipya.
Mwenendo wa aliyepo, haumpi nafasi kugombea!!Mchakato wa katiba mpya tumetangaziwa na mamlaka kwamba ni baada ya elimu ya miaka mitatu.Kwa vyovyote vile katiba mpya haitarajiwi kabla ya October 2025.Kinachowezekana walau mpaka wakati huo ni minimum reform kwenye sheria za uchaguzi na tume huru ya uchaguzi.Ndiposa nikatabiri kitakachotokea katika mazingira hayo.
Haichekeshi.huu sio utabiri ni ndoto, ila kasoro tu umeota ukiwa kwenye kidala, ingekua umeota ndoto ya kitandani isingeisha ivo , ingeshia hivi baada ya kushindwa mgombea alieshindwa akimbilia ubalozini tayari kwa safari ya ulaya alipo mwenza wake na wafadhili wake
Kivipi?Mwenendo wa aliyepo, haumpi nafasi kugombea!!
Aliekuwa anamghasi lisu kwa kujaribu kuumua lisu yeye yupo wapi leo??huu sio utabiri ni ndoto, ila kasoro tu umeota ukiwa kwenye kidala, ingekua umeota ndoto ya kitandani isingeisha ivo , ingeshia hivi baada ya kushindwa mgombea alieshindwa akimbilia ubalozini tayari kwa safari ya ulaya alipo mwenza wake na wafadhili wake
Kuwe na Tume huru kama mnajiamini kama mama hajagaragazwa asubuhi na mapemaKama wapinzani wenyewe ni Zitto na Tundu basi mama atashinda mchana kweupe.
kwahiyo rais Hage Gainbo wa namibia na Ebrahim Raisi wa Irani walikua wanamgasi Lisu?Aliekuwa anamghasi lisu kwa kujaribu kuumua lisu yeye yupo wapi leo??
Mungu sio mjomba wenu. Mahakama ya Mungu haina rufaaa
HAGE HAKUIBA KURA KAFARIKI KWA MARADHIkwahiyo rais Hage Gainbo wa namibia na Ebrahim Raisi wa Irani walikua wanamgasi Lisu?
ukiamini shirikina na uchaiwi unakua unawaza kipepo sana, na kwakweli unakua mtumwa mbaya mno wa roho na mawazo ya vikifo na mauti tu π
nakuombea roho mtakatifu ahuishe nafsi yako, uwaze kama binadamu asie kwenye shinikizo la chuku moyoni mwake..
Aimen π
nina mashaka makubwa sana na Imani yako juu ya mwenye mamlaka na zawadi hii ya uhai na afya ambayo tunaenjoy vizur sana tena bure sisi kama wanadamu πHAGE HAKUIBA KURA KAFARIKI KWA MARADHI
IBRAHIM RAIS ALIKUWA JANGILI KAMA MWNDAZAKE NDIO MAANA WANAWAKE WALISHANGILIA KUFA KWAKE KAMA BONGO WATU WALIVOSHANGILIA MUNGU KUINGILIA KATI
Ujinga huu nani atahangaika kwenda kupiga kura bila tume huru?HUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.
(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.
(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%
Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.
(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO
(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%
Spika wa Bunge Zitto Kabwe.
MWISHO WA UTABIRI
Acha ujinga wewe!huu sio utabiri ni ndoto, ila kasoro tu umeota ukiwa kwenye kidala, ingekua umeota ndoto ya kitandani isingeisha ivo , ingeshia hivi baada ya kushindwa mgombea alieshindwa akimbilia ubalozini tayari kwa safari ya ulaya alipo mwenza wake na wafadhili wake
Hii sisiemu unaijua au unaisikia? Hasako tayari kushindwa kwa namna yoyote ile linapokuja suala la uchaguzi afe kipa afe beki wanataka kuchukua kila kitu mana ndio salama pekee kulinda madhambi yao vinginevyo 90% wanaenda kuoza jela tena bila kuonewa kwa makosa genuine kabisa hivyo hawatakubaliHUU NI UTABIRI
(1) Patafanyika marekebisho madogo ya katiba pamoja na sheria za uchaguzi ambapo,pamoja na mambo mengine, mgombea kiti cha urais atatakiwa apate zaidi ya 50% ya kura ili kutangazwa mshindi.
(2) WAGOMBEA URAIS-:
(1)CCM - Samia Suluhu Hasan
(2)CHADEMA - Tundu Lissu
(3)ACT - Zitto Kabwe.
(3) MATOKEO YA URAIS
(1) Samia suluhu Hasan 48%
(2) Tundu Antipas Lissu 40.5%
(3) Zitto Kabwe 11%
(4) Vyama vingine 0.5%
Kwa matokeo hayo uchaguzi utaingia duru ya pili,ambapo CCM watamshawishi Zitto kabwe awaunge mkono kwa ahadi ya chama chake kupewa nafasi 3 za mawaziri huku Zitto Kabwe akiungwa mkono na CCM kugombea nafasi ya spika wa bunge.
(4)DURU YA PILI YA UCHAGUZI
MATOKEO
(1) Samia suluhu Hassan 53%
(2) Tundu Antipas Lissu 47%
Spika wa Bunge Zitto Kabwe.
MWISHO WA UTABIRI