Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
England wanaweza kucheza fainali na Ufaransa.
Naunga mkono hoja hiziEngland kama watachukua kombe ni kwasababu wanatimu na Kocha wanaye. Kwasasa Mashabiki wa England wanatizama mpira bila presha.