England wanaweza kucheza fainali na Ufaransa.
Naunga mkono hoja hiziEngland kama watachukua kombe ni kwasababu wanatimu na Kocha wanaye. Kwasasa Mashabiki wa England wanatizama mpira bila presha.
Labda Ronaldo aumie ila akiendelea kupewa nafasi hata robo portugal haitobooi. Halafu Ukiacha kukariri uingereza iko vizuri labda Maguire tu.Ureno ndio bingwa, achana na hiyo Taifa Star ya Ulaya.
Niandike jina langu basi kwa mwandiko wa kuremba, niweke avatarHata kama umeweka NB, hesabu zako zinakataa pakubwa sana.
NOTE: Kwenye mabano ni runner up wa EURO.
Spain pekee ndio imefanya hivi mara 1.
2008(Euro winner), then 2010(WC winner).
Pia France imefanya hivi mara 1.
2016(Euro runner up), then 2018(WC winner).
Japo unampigia chapuo England(Runner up wa Euro 2020), mimi nasema tusubiri kama atatusua group stage(proba ni 99%), then knock out stage ndipo tutaanza kuhitimishaView attachment 2427112
Huo mwandiko sio wangu[emoji3][emoji3][emoji3]Niandike jina langu basi kwa mwandiko wa kuremba, niweke avatar
Ni wako… kuna UEFA flani nilikuona pia umeandika andika mchambuko wa matchHuo mwandiko sio wangu[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi mwenyewe nimeandikiwa
Umeona mchezo wa England vs USA? England wana wachezaji wazuri sana sana. Tatizo lao ni kocha tu. Hivi ukiambiwa England wanacheza formation gani unajua? Haijulikani. Kocha ni wa hovyo sana na hana uwezo.England wanaweza kucheza fainali na Ufaransa.
England bila kutafuta kocha mzuri hawaendi popote. Mpira wao ni wa kuunga unga tu japo wana wachezaji wazuri.We unaejiita bingwa hebu njoo kwanza tudiscuss
Wana wachezaji wa kawaida tu England isipokuwa mikelele yao na promo tu,,,,,!!!England bila kutafuta kocha mzuri hawaendi popote. Mpira wao ni wa kuunga unga tu japo wana wachezaji wazuri.
Usikariri, kwasasa England wana timu nzuri,wachezaji Wazuri na mwalimu mzuri.Kelelezao zinaendana na uwezo wa timu Yao.Wana wachezaji wa kawaida tu England isipokuwa mikelele yao na promo tu,,,,,!!!
England hii iliyodroo sasa hivi na marekani au?Usikariri, kwasasa England wana timu nzuri,wachezaji Wazuri na mwalimu mzuri.Kelelezao zinaendana na uwezo wa timu Yao.
Ondoa EnglandMataifa matatu nayapigia utapu
Spain
Brazil
England
Ili uelelewe mpira usikalili timu, angalia zinavyo cheza. Marekani wamecheza vizuri Tena wamecheza ki timu imewasaidia sana.England hii iliyodroo sasa hivi na marekani au?