Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Kila nikitizama darubini yangu inanionyesha jezi yenye rangi nyeusi yenye ufito mwekundu itashamiri sana hapo kesho.
Kuna goli tatu kwa mwenyeji.
Kuna goli tatu kwa mwenyeji.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama tulivyoruka tare 28Makolo yanaruka na kukanyagana
Na iwe hivyoKila nikitizama darubini yangu inanionyesha jezi yenye rangi nyeusi yenye ufito mwekundu itashamiri sana hapo kesho.
Kuna goli tatu kwa mwenyeji.
View attachment 2643218
Hakuna kitu km hicho, aggregate inasoma 2 kwa 1Nasikia goli la pili ya algiers limefutwa 😎😎
Wape moyo wenzako bhana 😀😀😀Hakuna kitu km hicho, aggregate inasoma 2 kwa 1
Hapana, zipo 5 kabisa na sio 3 pekeeKila nikitizama darubini yangu inanionyesha jezi yenye rangi nyeusi yenye ufito mwekundu itashamiri sana hapo kesho.
Kuna goli tatu kwa mwenyeji.
Na iweMi kiukweli naombea Yanga afungwe magoli hata 7
Mnafiki mchawiMi kiukweli naombea Yanga afungwe magoli hata 7
Poleeeeh nenda kaangalie Aggregate ni 2 kwa 1Wape moyo wenzako bhana [emoji3][emoji3][emoji3]
Ile siku Muhindi ilikuwa ni sherehe kwake.View attachment 2643232
Muhindi alituaminisha Yanga ataibuka mshindi, tukaingia mkenge. Hapa sasa mechi ya kesho amekuja na hii