Puuza uzushi huo hizo ni njama za Yanga kutaka watutoe kwenye mstariNasikia goli la pili ya algiers limefutwa 😎😎
Hawa tunao tu maana mvua ishafika huko, Hongera sana kamati ya ufundi ya Msimbazi 😎 😎Puuza uzushi huo hizo ni njama za Yanga kutaka watutoe kwenye mstari
Yaan yanga atachukua ubingwaa? Ntawakumbushaa modes, wala hakuna shidaYanga asiposhinda kuanzia Goli 3 naomba nipigwe BAN ya miezi 6.
100% sureYaan yanga atachukua ubingwaa? Ntawakumbushaa modes, wala hakuna shida
Stress za kutoka kapa zinatesa sanaHata ikiwezekana goli 10 wapigwe tu, hawana msaada wowote
Sawaaah100% sure
Hata Jana muhindi kafanya sherehe kubwaIle siku Muhindi ilikuwa ni sherehe kwake.