Utabiri wa Hali ya Hewa: TMA ipewe maua yake

Utabiri wa Hali ya Hewa: TMA ipewe maua yake

Hii kitu imepiga usiku kucha haikutosheka, bado imepiga kutwa nzima na inaendelea kupiga[emoji134][emoji134][emoji134]
Aisee.. Huku chanika ardhi imetepeta kama uji
 
Iko hivi, TMA wanasadiwa na EU kupitia The European Organisation for the Exploitation of Meteorological Satellites (EUMTSAT)

EUMTSAT wana-monitor hali ya hewa hapa Tanzania na nchi nyingine za Afrika kupitia hiyo satellite niliyotaja hapo juu

EUMTSAT wao ni service provider wa TMA

Ikumbukwe awali TMA walikuwa wanatumia mfumo wa zamani ambao haukuwa sahihi sana (2nd Generation Satellite)

Mfumo mpya wa satellite ya EUMTSAT ni wa kisasa (3rd Generation Satellite) umeanza kutumika mwaka huu na matokeo yake ndio haya tunayoyaona
Meteorological Satellite, is tool for weather observation from space and is not a tool for weather foresting ingawa data za satellite zinasaidia kukupa picha zinazoweza kukusaidi kufanya utabiri.

Forecasting hufanywa kwa kutumia special forecasting models na kazi hiyo hufanywa na wataalamu( Meteorogists).
 
Meteorological Satellite, kama ilivyo radar, is tool for weather observation and not weather foresting. Foresting hufanywa kwa kutumia special forecasting models na kazi hiyo hufanywa na wataalamu( meteorogust) ambao TMA wapo wa kutosha.
Mkuu soma hii uongeze maarifa bado uko nyuma

 
Sipendi sana kutumia huo msemo, ila kwakuwa ndio uko kwenye chati, wacha niutumie kuwapongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini kwa kutoa utabiri wenye viwango.

Wote ni mashuhuda wa utabiri wa mvua za mafuriko kutoka TMA japo wako watu waliobeza ila muda umethibitisha.

Waliochukua tahadhari watakuwa wameepuka mengi ikiwemo usalama wao na wa mali zao na waliopuuza bila shaka itakuwa imekula kwao.

Endeleeni kufuatilia utabiri kutoka TMA.

Hongereni sana TMA

NB: Weather Forecasting is a science and not otherwise.
Maendeleo hayana chama kwa kweli. Sisi chauma tuna penda kuwapatia maua yao TMA. Ongera mama samia, ongera chama cha mapinduzi. Kazi iendelee
 
Wala usijali hiyo mvua inakuja huko soon. Hilo joto ndio dalili yake, itanyesha Hadi mshangae. Huku Dar tumeshanyooka, maana sio kwa unyeshaji huu.
Ila hii wilaya ya mbarali japo siyo sehemu zote, lakini haina historia nzuri kabisa ya mvua, sometime mpaka wa 12 unaingia mvua hakuna.

Wanao lima vitunguu ndo wachawi wenyewe.
 
Maendeleo hayana chama kwa kweli. Sisi chauma tuna penda kuwapatia maua yao TMA. Ongera mama samia, ongera chama cha mapinduzi. Kazi iendelee
Nikiri tu serikali inajitahidi kuiwezesha TMA kwani bila wataalamu na vifaa vya kisasa, TMA isingekuwa hapa ilipo leo hii.
 
Elewa tu watu(watalaamu) wanakaa na ku-sutdy models(weather foresting models) na kufanya analysis kabla ya kutoa utabiri na sio mchezo mchezo kama mnavyofikiri..
Muda siyo muda kazi hiyo itakuwa ya 'Artificial Intelligence' (AI). Hakuna sababu ya akili ya binaadamu kujihangaisha tena na maswala ya aina hiyo.
 
Back
Top Bottom