Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Pole njoo DarHii wilaya ya mbarali, niliamua kuikacha aisee, siyo kwa joto hilo aisee na bado mvua hamna lol!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole njoo DarHii wilaya ya mbarali, niliamua kuikacha aisee, siyo kwa joto hilo aisee na bado mvua hamna lol!
Aisee.. Huku chanika ardhi imetepeta kama ujiHii kitu imepiga usiku kucha haikutosheka, bado imepiga kutwa nzima na inaendelea kupiga[emoji134][emoji134][emoji134]
Hali si hali walah!Aisee.. Huku chanika ardhi imetepeta kama uji
Meteorological Satellite, is tool for weather observation from space and is not a tool for weather foresting ingawa data za satellite zinasaidia kukupa picha zinazoweza kukusaidi kufanya utabiri.Iko hivi, TMA wanasadiwa na EU kupitia The European Organisation for the Exploitation of Meteorological Satellites (EUMTSAT)
EUMTSAT wana-monitor hali ya hewa hapa Tanzania na nchi nyingine za Afrika kupitia hiyo satellite niliyotaja hapo juu
EUMTSAT wao ni service provider wa TMA
Ikumbukwe awali TMA walikuwa wanatumia mfumo wa zamani ambao haukuwa sahihi sana (2nd Generation Satellite)
Mfumo mpya wa satellite ya EUMTSAT ni wa kisasa (3rd Generation Satellite) umeanza kutumika mwaka huu na matokeo yake ndio haya tunayoyaona
Mkuu soma hii uongeze maarifa bado uko nyumaMeteorological Satellite, kama ilivyo radar, is tool for weather observation and not weather foresting. Foresting hufanywa kwa kutumia special forecasting models na kazi hiyo hufanywa na wataalamu( meteorogust) ambao TMA wapo wa kutosha.
Wala usijali hiyo mvua inakuja huko soon. Hilo joto ndio dalili yake, itanyesha Hadi mshangae. Huku Dar tumeshanyooka, maana sio kwa unyeshaji huu.Hii wilaya ya mbarali, niliamua kuikacha aisee, siyo kwa joto hilo aisee na bado mvua hamna lol!
Mganga wenu awamu hii ya sita fundi haswa.Elewa tu watu(watalaamu) wanakaa na ku-sutdy models(weather foresting models) na kufanya analysis kabla ya kutoa utabiri na sio mchezo mchezo kama mnavyofikiri..
Makazi yangu ni huko, huku mbeya nilikuja kikazi aisee, katika harakati za kutafuta mashamba ya kukodisha na mambo mengine ndo nikaangukia hii wilaya, daah so poa yani.Pole njoo Dar
Vizuri mkuu. Una jambo wewe hebu tuchekiane pmMakazi yangu ni huko, huku mbeya nilikuja kikazi aisee, katika harakati za kutafuta mashamba ya kukodisha na mambo mengine ndo nikaangukia hii wilaya, daah so poa yani.
Maendeleo hayana chama kwa kweli. Sisi chauma tuna penda kuwapatia maua yao TMA. Ongera mama samia, ongera chama cha mapinduzi. Kazi iendeleeSipendi sana kutumia huo msemo, ila kwakuwa ndio uko kwenye chati, wacha niutumie kuwapongeza Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini kwa kutoa utabiri wenye viwango.
Wote ni mashuhuda wa utabiri wa mvua za mafuriko kutoka TMA japo wako watu waliobeza ila muda umethibitisha.
Waliochukua tahadhari watakuwa wameepuka mengi ikiwemo usalama wao na wa mali zao na waliopuuza bila shaka itakuwa imekula kwao.
Endeleeni kufuatilia utabiri kutoka TMA.
Hongereni sana TMA
NB: Weather Forecasting is a science and not otherwise.
Hamia Uyole. Hutojuta...Mbeya jotokali Sana.
Ila hii wilaya ya mbarali japo siyo sehemu zote, lakini haina historia nzuri kabisa ya mvua, sometime mpaka wa 12 unaingia mvua hakuna.Wala usijali hiyo mvua inakuja huko soon. Hilo joto ndio dalili yake, itanyesha Hadi mshangae. Huku Dar tumeshanyooka, maana sio kwa unyeshaji huu.
Nikiri tu serikali inajitahidi kuiwezesha TMA kwani bila wataalamu na vifaa vya kisasa, TMA isingekuwa hapa ilipo leo hii.Maendeleo hayana chama kwa kweli. Sisi chauma tuna penda kuwapatia maua yao TMA. Ongera mama samia, ongera chama cha mapinduzi. Kazi iendelee
Kwa mvua hii hata uchawi hautafanya kazi.Ila hii wilaya ya mbarali japo siyo sehemu zote, lakini haina historia nzuri kabisa ya mvua, sometime mpaka wa 12 unaingia mvua hakuna.
Wanao lima vitunguu ndo wachawi wenyewe.
Leo pia imemwagika ya kutosha au imewapumzisha kwanza?Kwa mvua hii hata uchawi hautafanya kazi.
SureNikiri tu serikali inajitahidi kuiwezesha TMA kwani bila wataalamu na vifaa vya kisasa, TMA isingekuwa hapa ilipo leo hii.
HahaahahMbeya huku vipi aisee, mbona mvua hamna kabisa.
Especially, hii wilaya ya mbarali, yani ni joto balaa, nyie mnaolima vitunguu pande za igawa hapa acheni uchawi.
Muda siyo muda kazi hiyo itakuwa ya 'Artificial Intelligence' (AI). Hakuna sababu ya akili ya binaadamu kujihangaisha tena na maswala ya aina hiyo.Elewa tu watu(watalaamu) wanakaa na ku-sutdy models(weather foresting models) na kufanya analysis kabla ya kutoa utabiri na sio mchezo mchezo kama mnavyofikiri..