Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are absolutely right... machine learning algorithms fit very well into this problemMuda siyo muda kazi hiyo itakuwa ya 'Artificial Intelligence' (AI). Hakuna sababu ya akili ya binaadamu kujihangaisha tena na maswala ya aina hiyo.
Hahaha just imagine mpaka sasa hata manyunyu tu hamna, na si ajabu mpaka utaingia wa 12 hata tone tu la mvua hamna.Hahaahah
Ehee zipo mfano Moro zinatwanga mpaka keroHivi ukiachana na dar kuna sehemu nyingine mvua zinapiga 12 hrs a day
Hayo ni machozi ya mnyama baada ya kupigwa 5G ambayo TMA ilitabiri na kuyaita Elinino!Hii kitu imepiga usiku kucha haikutosheka, bado imepiga kutwa nzima na inaendelea kupiga🙆🙆🙆
Kuanzia jumatano wiki iliyopita ni mvua tu aisee..Ehee zipo mfano Moro zinatwanga mpaka kero
NyambafYanga 5 Simba 1
Elnino
Hahah walima vitunguu hawataki viozee shambanHahaha just imagine mpaka sasa hata manyunyu tu hamna, na si ajabu mpaka utaingia wa 12 hata tone tu la mvua hamna.
Hii si kawaida kabisa, waache ushirikina aiseee.
Inanyesha Hadi imekuwa noma.Leo pia imemwagika ya kutosha au imewapumzisha kwanza?
Inafika leo...iko hapa Makambako..Mbeya huku vipi aisee, mbona mvua hamna kabisa.
Especially, hii wilaya ya mbarali, yani ni joto balaa, nyie mnaolima vitunguu pande za igawa hapa acheni uchawi.
MorogoroHivi ukiachana na dar kuna sehemu nyingine mvua zinapiga 12 hrs a day
Nakubaliana na wewe maana kwenye laptop yangu napata weather updates kutoka microsoft kwenye eneo nilipo nikiunga tu kwenye mtandao.Kwa kuongezea tu.zamani kidogo, data za hali ya hewa zilikua zinatumia netwek za serikali tu.na zinachukua muda kusoma ukweli kutoka katika eneo husika.lakin kwasasa data zao zimeunganishwa moja kwa moja kupitia na mitandao ya simu.
Yaani kwenye kila netwek ya simu na data za hali ya hewa zinasoma ndani ya dakika 5, na baada ya nusu saa zinasoma kidunia.
Miaka si chini ya kumi Sasa wapo vizuri,hamlimi ndiyo maana hamjuiSafari hii wamepiga ramli
Kama unalima nina trekta 3 zimepaki nipe kazi mkuu nije kukulimia bei nafuuMiaka si chini ya kumi Sasa wapo vizuri,hamlimi ndiyo maana hamjui
Hapana.Maendeleo hayana chama kwa kweli. Sisi chauma tuna penda kuwapatia maua yao TMA. Ongera mama samia, ongera chama cha mapinduzi. Kazi iendelee
Ekari moja unalimia Bei gani!?Kama unalima nina trekta 3 zimepaki nipe kazi mkuu nije kukulimia bei nafuu
Mvua ikinyesha leo hapo Igawa, mbeya, niite mbwa hapo badae.Inafika leo...iko hapa Makambako..
Sawa sawa mtu wa CHAUMA nimekupata vzr kweli kweliHapana.
Wewe sio msemaji rasmi wa Chauma, sera yetu sisi Chauma sio kupongezana bali kuhimiza uwajibikaji.
Mamlaka ya hali ya hewa, walipaswa kutuambia haya;
-Mvua zitanyesha lini, saa ngapi, kiasi gani kwa kila eneo, sio kutuambia El nino itakuja mwishoni mwa September, mwanzoni na katikati ya Oktoba, halafu haikunyesha badala yake imekuja kunyesha mvua kubwa (bado haijafikia kiwango cha Elnino) mwanzani mwa November.