Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wanaume watakuwa wakali kipindi cha January mpaka mwanzoni mwa february na kwa wanawake walioolewa na watumishi wa umma kutakuwa na vipindi virefu vya hasira na kusonya [emoji126][emoji126][emoji126]
Aidha ukanda wa ```Michepuko``` hali haitakuwa shwari kwa sababu PESA hazitavuma kutoka mifukoni mwa wanaume. Kiwango cha juu cha ```usaliti``` kitapungua na kufikia 0. 75% wakati chuki ndani ya ndoa ikiongezeka kufuatia uhaba wa pesa.
[emoji174] Utabiri huu wa hali ya ndoa umeletwa kwenu na ```Mamlaka ya hali ya Ndoa nchini```
Aidha ukanda wa ```Michepuko``` hali haitakuwa shwari kwa sababu PESA hazitavuma kutoka mifukoni mwa wanaume. Kiwango cha juu cha ```usaliti``` kitapungua na kufikia 0. 75% wakati chuki ndani ya ndoa ikiongezeka kufuatia uhaba wa pesa.
[emoji174] Utabiri huu wa hali ya ndoa umeletwa kwenu na ```Mamlaka ya hali ya Ndoa nchini```