Ili mupite kitonga muanze kutamba sio?mana hapo kundi c anaejua ni ahali tuu haowengine vilaza woteNaona ibaki hivi hivi:
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Mamelodi Sundowns ๐ฟ๐ฆ
โข CR Belouizdad ๐ฉ๐ฟ
โข Al Hilal ๐ธ๐ฉ
โข Medeama ๐ฌ๐ญ
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Wydad AC ๐ฒ๐ฆ
โข Simba SC ๐น๐ฟ
โข ASEC Mimosas ๐จ๐ฎ
โข Jwaneng Galaxy ๐ง๐ผ
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Al Ahly ๐ช๐ฌ
โข Petro de Luanda ๐ฆ๐ด
โข Yanga SC ๐น๐ฟ
โข FC Nouadhibou ๐ฒ๐ท
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข ES Tunis ๐น๐ณ
โข Pyramids FC ๐ช๐ฌ
โข TP Mazembe ๐จ๐ฉ
โข Etoile du Sahel ๐น๐ณ
Au nyie wadau mnasemaje!?
Mshamba huyo baada ya kutinga fainali kule confederation/losers amepatwa na kiburi na jeuri sio ya nchi hii na wala hataki kujifunza kutoka kwa mjanja wa michuano hiyo zaidi ya kumkejeli tu.Aahaaaa,huyo mshamba ndo anenda kuwa mjanja wa town
Mjanja wewe usipoanglia unaenda kuachwa mbali sana,mwenzio kama mjini siyo kuuza sura bal kazikazi tuMshamba huyo baada ya kutinga fainali kule confederation/losers amepatwa na kiburi na jeuri sio ya nchi hii na wala hataki kujifunza kutoka kwa mjanja wa michuano hiyo zaidi ya kumkejeli tu.
Kuna kipindi inafikaga Real Madrid baba wa UEFA inakuwa na cycle ya wachezaji walioizoea UEFA misimu nenda rudi mpaka inafika kuichoka michuano hiyo na kuamua kuishia robo robo huko, yani michuano imekuwa ya kwao.Mjanja wewe usipoanglia unaenda kuachwa mbali sana,mwenzio kama mjini siyo kuuza sura bal kazikazi tu
YangaAahaaaaa,huyo ni utabiri tu,
Ebu weka wa kwako tuuone
Kama msimu uliopita,hawakuwa serious kabisaKuna kipindi inafikaga Real Madrid baba wa UEFA inakuwa na cycle ya wachezaji walioizoea UEFA misimu nenda rudi mpaka inafika kuichoka michuano hiyo na kuamua kuishia robo robo huko, yani michuano imekuwa ya kwao.
๐๐mtapoteana mshangaeSawa,inabidi Mamelodi aje atuambie kwanini anavaa njano kama sisi
Ingependeza zaidi huyo mshamba angeitwa kimya kimya huko CAF apewe dezo ya kujichagulia kundi yeye mwenyewe, na sio hivi mnavyomchagulia nyie.Yanga
ahali
mamelodi
piramid
Sio tatizo, kikanuni inaruhusiwa.Group D mbona kaweka timu za nchi moja pa1?
Petro de Luanda ni mjuba mbele ya paka mwitu.Ili mupite kitonga muanze kutamba sio?mana hapo kundi c anaejua ni ahali tuu haowengine vilaza wote
Kwamba hapo Kundi la Yanga, Anapita Yeye na Al AhlyNaona ibaki hivi hivi:
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Mamelodi Sundowns [emoji1221]
โข CR Belouizdad [emoji1026]
โข Al Hilal [emoji1232]
โข Medeama [emoji1110]
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Wydad AC [emoji1173]
โข Simba SC [emoji1241]
โข ASEC Mimosas [emoji1081]
โข Jwaneng Galaxy [emoji1052]
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Al Ahly [emoji1093]
โข Petro de Luanda [emoji1029]
โข Yanga SC [emoji1241]
โข FC Nouadhibou [emoji1163]
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข ES Tunis [emoji1249]
โข Pyramids FC [emoji1093]
โข TP Mazembe [emoji1078]
โข Etoile du Sahel [emoji1249]
Au nyie wadau mnasemaje!?