kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Inawezekana pia, hakuna kizuiziGroup D mbona kaweka timu za nchi moja pa1?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inawezekana pia, hakuna kizuiziGroup D mbona kaweka timu za nchi moja pa1?
Kinachogombaniwa sio robo, bali ni kombe.Mshamba huyo baada ya kutinga fainali kule confederation/losers amepatwa na kiburi na jeuri sio ya nchi hii na wala hataki kujifunza kutoka kwa mjanja wa michuano hiyo zaidi ya kumkejeli tu.
nilifikiri unaujua mpira kumbe wee mnazi tuuUwanjani tunacheza watu 22,hakuna maajabu hapo
Mshamba huyo anapaswa akandwe nyingi mno mechi mbili tatu, zitakazobaki akandwe chache chache ili ajifunze na pia kelele zipungue mjini hapa, na ndivyo itakavyokuwa.Kinachogombaniwa sio robo, bali ni kombe.
Huyo paka shume hajawahi kufika hata nusu, kwahiyo sio wa kuigwa.
Tena atakuwa wa mwisho katika kundi lao nae mnyama akiongoza kundi lakeVyovyote itakavyokuwa ila huyo mgeni na mshamba wa michuano hiyo kutoka Tanzania atapigwa kama ngoma.
Kwa hizi Akili inaumiza sana kama kuna Watu na wewe Wanakutegemea.Vyovyote itakavyokuwa ila huyo mgeni na mshamba wa michuano hiyo kutoka Tanzania atapigwa kama ngoma.
Tumeshakubaliana kwamba huko champions league yanga ni ihefu fc iliyochangamka.Kwa hizi Akili inaumiza sana kama kuna Watu na wewe Wanakutegemea.
Baadae musije badili misamiati.Kule hakuna akina ihefu fc, yani kule yanga ndiyo ihefu fc sasa [emoji38] ngoja wakajionee wenyewe.
Kwani kuna nchi ina timu 3 CAFCL?CAF wanaruhusu kundi kuwa na timu mbili za nchi moja ila si zaidi ya mbili
Kujofunzq nini, uchawi ?Mshamba huyo baada ya kutinga fainali kule confederation/losers amepatwa na kiburi na jeuri sio ya nchi hii na wala hataki kujifunza kutoka kwa mjanja wa michuano hiyo zaidi ya kumkejeli tu.
Kinachogombaniwa sio robo, bali ni kombe.
Huyo paka shume hajawahi kufika hata nusu, kwahiyo sio wa kuigwa.
Kumbe yawezekana simba na yanga kuwa grup mojaInawezekana pia, hakuna kizuizi
Ok mkuuSio tatizo, kikanuni inaruhusiwa.
Mme anza baadae mtasema mliwahi kuchukua kombe mwaka 1890Simba ameshafika nusu fainali mkuu.
Ikitokea simba akapangwa na hizo timu, basi ajiandae kushika mkia.Naona ibaki hivi hivi:
𝐆𝐫𝐨𝐮𝐩 𝐀:
• Mamelodi Sundowns 🇿🇦
• CR Belouizdad 🇩🇿
• Al Hilal 🇸🇩
• Medeama 🇬🇭
𝐆𝐫𝐨𝐮𝐩 𝐁:
• Wydad AC 🇲🇦
• Simba SC 🇹🇿
• ASEC Mimosas 🇨🇮
• Jwaneng Galaxy 🇧🇼
𝐆𝐫𝐨𝐮𝐩 𝐂:
• Al Ahly 🇪🇬
• Petro de Luanda 🇦🇴
• Yanga SC 🇹🇿
• FC Nouadhibou 🇲🇷
𝐆𝐫𝐨𝐮𝐩 𝐃:
• ES Tunis 🇹🇳
• Pyramids FC 🇪🇬
• TP Mazembe 🇨🇩
• Etoile du Sahel 🇹🇳
Au nyie wadau mnasemaje!?