Inawezekana pia, hakuna kizuiziGroup D mbona kaweka timu za nchi moja pa1?
Kinachogombaniwa sio robo, bali ni kombe.Mshamba huyo baada ya kutinga fainali kule confederation/losers amepatwa na kiburi na jeuri sio ya nchi hii na wala hataki kujifunza kutoka kwa mjanja wa michuano hiyo zaidi ya kumkejeli tu.
nilifikiri unaujua mpira kumbe wee mnazi tuuUwanjani tunacheza watu 22,hakuna maajabu hapo
Mshamba huyo anapaswa akandwe nyingi mno mechi mbili tatu, zitakazobaki akandwe chache chache ili ajifunze na pia kelele zipungue mjini hapa, na ndivyo itakavyokuwa.Kinachogombaniwa sio robo, bali ni kombe.
Huyo paka shume hajawahi kufika hata nusu, kwahiyo sio wa kuigwa.
Tena atakuwa wa mwisho katika kundi lao nae mnyama akiongoza kundi lakeVyovyote itakavyokuwa ila huyo mgeni na mshamba wa michuano hiyo kutoka Tanzania atapigwa kama ngoma.
Kwa hizi Akili inaumiza sana kama kuna Watu na wewe Wanakutegemea.Vyovyote itakavyokuwa ila huyo mgeni na mshamba wa michuano hiyo kutoka Tanzania atapigwa kama ngoma.
Tumeshakubaliana kwamba huko champions league yanga ni ihefu fc iliyochangamka.Kwa hizi Akili inaumiza sana kama kuna Watu na wewe Wanakutegemea.
Baadae musije badili misamiati.Kule hakuna akina ihefu fc, yani kule yanga ndiyo ihefu fc sasa [emoji38] ngoja wakajionee wenyewe.
Kwani kuna nchi ina timu 3 CAFCL?CAF wanaruhusu kundi kuwa na timu mbili za nchi moja ila si zaidi ya mbili
Kujofunzq nini, uchawi ?Mshamba huyo baada ya kutinga fainali kule confederation/losers amepatwa na kiburi na jeuri sio ya nchi hii na wala hataki kujifunza kutoka kwa mjanja wa michuano hiyo zaidi ya kumkejeli tu.
Kinachogombaniwa sio robo, bali ni kombe.
Huyo paka shume hajawahi kufika hata nusu, kwahiyo sio wa kuigwa.
Kumbe yawezekana simba na yanga kuwa grup mojaInawezekana pia, hakuna kizuizi
Ok mkuuSio tatizo, kikanuni inaruhusiwa.
Mme anza baadae mtasema mliwahi kuchukua kombe mwaka 1890Simba ameshafika nusu fainali mkuu.
Ikitokea simba akapangwa na hizo timu, basi ajiandae kushika mkia.Naona ibaki hivi hivi:
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Mamelodi Sundowns ๐ฟ๐ฆ
โข CR Belouizdad ๐ฉ๐ฟ
โข Al Hilal ๐ธ๐ฉ
โข Medeama ๐ฌ๐ญ
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Wydad AC ๐ฒ๐ฆ
โข Simba SC ๐น๐ฟ
โข ASEC Mimosas ๐จ๐ฎ
โข Jwaneng Galaxy ๐ง๐ผ
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข Al Ahly ๐ช๐ฌ
โข Petro de Luanda ๐ฆ๐ด
โข Yanga SC ๐น๐ฟ
โข FC Nouadhibou ๐ฒ๐ท
๐๐ซ๐จ๐ฎ๐ฉ ๐:
โข ES Tunis ๐น๐ณ
โข Pyramids FC ๐ช๐ฌ
โข TP Mazembe ๐จ๐ฉ
โข Etoile du Sahel ๐น๐ณ
Au nyie wadau mnasemaje!?