Utabiri wa mwisho: Nimeambiwa sio Baleke wala Mayele watakaofunga kwenye dabi ya leo

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Kwa mujibu wa unajimu wa mechi ya leo sio Baleke wala Mayele watakaokuwa katika scoresheet.

Nyota zao haziendani na tarehe ya leo, leo ni siku ya viungo na mabeki kung'aa.

Duru zinasema hapatakuwa na magoli mengi leo kwani magoli yatakuwa mawili au moja tu. Na hapatakuwa droo.

Kwa kuhitimisha, kuna timu inakufa goli 1-0 au 2-0.

NB:
Manula atakuwa golini kama kawaida yake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Leo kazi ipoo.
 
Mchezo WA heshima hui,
 
Twisila Kisinda Khaleed aucho
 
Unaruka ruka tu
 
Utabiri unaweza kutimia! Leo Simba wameroga si mchezo! Mvua kutwa nzima hadi kunyeshea wachezaji!
Benki imevunjwa!
Mudathir kwanini hakuanza kama nilivyocomment uzi flani?

Tusubiri Wydad!
 
Umepatia kiaina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…