Utabiri wa Shaffih Dauda: Msimamo wa kundi D baada ya kila timu kumaliza mechi zake

Utabiri wa Shaffih Dauda: Msimamo wa kundi D baada ya kila timu kumaliza mechi zake

Hivyo hebu chambua hicho alichochambua Shaffih tuone unasemaje na weye Swahiba.

Hivyo mpaka hatua ya makundi inamaliziika mtaondoka na point ngapi?
As Vita 1 Simba 2
Al alhy 2. Simba 2
Simba 3 Al alhy 1
Saoura 1 Simba 4
Simba 3 As Vita 0

Simba atamaliza na points 16 nafasi ya Kwanza uku akiwa unbeaten
Hizo nafasi zilizobaki watajijua wenyewe wajipange vipi Nani afuate na Nani akae mwisho
Hii Ni kwa mujibu wa wachambuzi nguli waliobobeka katika soka la Africa ukizi gatiwa ubora wa timu na viwango walivyotapika sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuuu ntakutafta jmosi baada ya mechi
As Vita 1 Simba 2
Al alhy 2. Simba 2
Simba 3 Al alhy 1
Saoura 1 Simba 4
Simba 3 As Vita 0

Simba atamaliza na points 16 nafasi ya Kwanza uku akiwa unbeaten
Hizo nafasi zilizobaki watajijua wenyewe wajipange vipi Nani afuate na Nani akae mwisho
Hii Ni kwa mujibu wa wachambuzi nguli waliobobeka katika soka la Africa ukizi gatiwa ubora wa timu na viwango walivyotapika sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
1547714311913.png
 
As Vita 1 Simba 2
Al alhy 2. Simba 2
Simba 3 Al alhy 1
Saoura 1 Simba 4
Simba 3 As Vita 0

Simba atamaliza na points 16 nafasi ya Kwanza uku akiwa unbeaten
Hizo nafasi zilizobaki watajijua wenyewe wajipange vipi Nani afuate na Nani akae mwisho
Hii Ni kwa mujibu wa wachambuzi nguli waliobobeka katika soka la Africa ukizi gatiwa ubora wa timu na viwango walivyotapika sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
Koh koh koh. Tukutane jumamosi tuanze na hiyo ya kwanza.

Usikimbie maneno yako tafadhali.
 
[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya nyumbani)

AS Vita (3 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya ugenini)

AS Vita (1 point)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2394]


[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (1 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
Simba SC (1 point)
JS Soura (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2389]


[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (0 points)
AS Vita (1 point)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
JS Soura (1 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2393]

[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (0 points)
AS Vita (0 points)
Simba SC (1 points)

[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
Simba SC (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 =[emoji2389]

Msimamo Kundi D baada ya Mechi 6 kukamilika

[emoji2389]. Al Ahly (16) [emoji3581]
[emoji2390]. AS Vita Club (11) [emoji3581]
[emoji2391]. Simba SC (5) [emoji3582]
[emoji2392]. JS Soura (1) [emoji3582]




Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kua kweli ila mpira ni baada ya DK 90,,

Pia naomba niseme Duda kaandika hivi baada ya mechi ya Simba na Js Soura,kwa mawazo yake Js ni wepesi sana kila wamefungwa na Simba
Ila mm nasema sijui kama kunateam itako na ushindi kwao,,,wait and see
 
Back
Top Bottom