Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshajua mbinu zao hao Mambumbumbu.Umeona eeehView attachment 997024
As Vita 1 Simba 2Hivyo hebu chambua hicho alichochambua Shaffih tuone unasemaje na weye Swahiba.
Hivyo mpaka hatua ya makundi inamaliziika mtaondoka na point ngapi?
As Vita 1 Simba 2
Al alhy 2. Simba 2
Simba 3 Al alhy 1
Saoura 1 Simba 4
Simba 3 As Vita 0
Simba atamaliza na points 16 nafasi ya Kwanza uku akiwa unbeaten
Hizo nafasi zilizobaki watajijua wenyewe wajipange vipi Nani afuate na Nani akae mwisho
Hii Ni kwa mujibu wa wachambuzi nguli waliobobeka katika soka la Africa ukizi gatiwa ubora wa timu na viwango walivyotapika sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Umtafute pia na Shaffih DaudaMkuuu ntakutafta jmosi baada ya mechi
shaffih dauda anabeti hachambui mpiraUmtafute pia na Shaffih Dauda
Koh koh koh. Tukutane jumamosi tuanze na hiyo ya kwanza.As Vita 1 Simba 2
Al alhy 2. Simba 2
Simba 3 Al alhy 1
Saoura 1 Simba 4
Simba 3 As Vita 0
Simba atamaliza na points 16 nafasi ya Kwanza uku akiwa unbeaten
Hizo nafasi zilizobaki watajijua wenyewe wajipange vipi Nani afuate na Nani akae mwisho
Hii Ni kwa mujibu wa wachambuzi nguli waliobobeka katika soka la Africa ukizi gatiwa ubora wa timu na viwango walivyotapika sasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment inatoa matumaini! japo njia ya kufika robo fainali si nyepesi! ila inshaallah tutafikaAS VITA is overrated
Simba wapo vizuri hakuna timu angalau inayokaribia ubora wa Simba ukanda huu wa Africa Mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Afadhali Mtani wangu wewe umelijua hilo.Hii comment inatoa matumaini! japo njia ya kufika robo fainali si nyepesi! ila inshaallah tutafika
Ila Vita haitoki ukanda uliotajaAS VITA is overrated
Simba wapo vizuri hakuna timu angalau inayokaribia ubora wa Simba ukanda huu wa Africa Mashariki
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa k kama huyu utasema mchambuzi?labda anachambua matembeleUmeona eeehView attachment 997024
Mkuu subir muda utaongeaBarcelona acheze na Wigan Athletic ...then useme lolote laweza kutokea.
Huo utakuwa kujitoa ufahamu..[emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaweza kua kweli ila mpira ni baada ya DK 90,,[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya nyumbani)
AS Vita (3 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)
[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya ugenini)
AS Vita (1 point)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)
Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2394]
[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya nyumbani)
Al Ahly (1 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)
[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya ugenini)
Al Ahly (0 point)
Simba SC (1 point)
JS Soura (3 points)
Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2389]
[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya nyumbani)
Al Ahly (0 points)
AS Vita (1 point)
JS Soura (3 points)
[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya ugenini)
Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
JS Soura (1 points)
Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2393]
[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya nyumbani)
Al Ahly (0 points)
AS Vita (0 points)
Simba SC (1 points)
[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya ugenini)
Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
Simba SC (3 points)
Jumla ya Alama baada ya michezo 6 =[emoji2389]
Msimamo Kundi D baada ya Mechi 6 kukamilika
[emoji2389]. Al Ahly (16) [emoji3581]
[emoji2390]. AS Vita Club (11) [emoji3581]
[emoji2391]. Simba SC (5) [emoji3582]
[emoji2392]. JS Soura (1) [emoji3582]
Sent using Jamii Forums mobile app
😁😁😁 huyu si ndugu yenu jamani,uchambuzi zeroSasa k kama huyu utasema mchambuzi?labda anachambua matembele
Nadhani atakua yuko Drc na timu🤣🤣🤣🤣 kuna Mzungu akiiona hii patachimbika
Yeah! Kila timu inatafuta matokeo lazima wapambaneAfadhali Mtani wangu wewe umelijua hilo.
chambua mkuu tuone mambo yako.Soka alichambuliwa kijinga hv.. hapo anatabiri tu hana uhakika.