Utabiri wa Shaffih Dauda: Msimamo wa kundi D baada ya kila timu kumaliza mechi zake

Utabiri wa Shaffih Dauda: Msimamo wa kundi D baada ya kila timu kumaliza mechi zake

As Vita 1 Simba 2
Al alhy 2. Simba 2
Simba 3 Al alhy 1
Saoura 1 Simba 4
Simba 3 As Vita 0

Simba atamaliza na points 16 nafasi ya Kwanza uku akiwa unbeaten
Hizo nafasi zilizobaki watajijua wenyewe wajipange vipi Nani afuate na Nani akae mwisho
Hii Ni kwa mujibu wa wachambuzi nguli waliobobeka katika soka la Africa ukizi gatiwa ubora wa timu na viwango walivyotapika sasa


Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahaaa duh, hiyo al ahly ya wapi ifungwe goli 3!!! Na vita ifungwe 3!!!

My prediction
Al ahly na Vita ndiyo watakaopita...js soura na simba wakasome kwanza...mark my words kamanda!


ila usinifikirie vibaya mimi sio Yanga....

My favourite team is WYDAD CASABLANCA 😍😍😍 Konki konki konki oil chafu...
 
Wazee wa 5G now wameanza kumuelewa shaffih
IMG-20190119-WA0010.jpeg
 
[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya nyumbani)

AS Vita (3 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya ugenini)

AS Vita (1 point)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2394]


[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (1 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
Simba SC (1 point)
JS Soura (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2389]


[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (0 points)
AS Vita (1 point)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
JS Soura (1 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2393]

[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (0 points)
AS Vita (0 points)
Simba SC (1 points)

[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
Simba SC (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 =[emoji2389]

Msimamo Kundi D baada ya Mechi 6 kukamilika

[emoji2389]. Al Ahly (16) [emoji3581]
[emoji2390]. AS Vita Club (11) [emoji3581]
[emoji2391]. Simba SC (5) [emoji3582]
[emoji2392]. JS Soura (1) [emoji3582]



Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona alisema katika hili kundi Simba ndo mnyonge?
 
[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya nyumbani)

AS Vita (3 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]AL AHLY (michezo 3 ya ugenini)

AS Vita (1 point)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2394]


[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (1 points)
Simba SC (3 points)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]AS VITA CLUB (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
Simba SC (1 point)
JS Soura (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2389][emoji2389]


[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (0 points)
AS Vita (1 point)
JS Soura (3 points)

[emoji3502]SIMBA SC (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
JS Soura (1 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 = [emoji2393]

[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya nyumbani)

Al Ahly (0 points)
AS Vita (0 points)
Simba SC (1 points)

[emoji3502]JS SOURA (michezo 3 ya ugenini)

Al Ahly (0 point)
AS Vita (0 points)
Simba SC (3 points)

Jumla ya Alama baada ya michezo 6 =[emoji2389]

Msimamo Kundi D baada ya Mechi 6 kukamilika

[emoji2389]. Al Ahly (16) [emoji3581]
[emoji2390]. AS Vita Club (11) [emoji3581]
[emoji2391]. Simba SC (5) [emoji3582]
[emoji2392]. JS Soura (1) [emoji3582]




Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mtazamo wako, JS SOURA wameshapata point ya nyumbani dhidi ya Al ahly.
 
Back
Top Bottom