Utabiri wa Sheikh Yahya

Utabiri wa Sheikh Yahya

Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."💗❤💗❤💗💗💥
 
Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
Alifaeiki 2011 na robotatu ya utabiri umesoma sawa, tuingoje robo iliyosalia.
 
Ushahidi mkuu wa wakati huo walivyosema
wakati huo hizi insta sijui whatsap hata youtube zilikuwa bado. blogs kama ile ya michuzi ndo zilikuwa mpango mzima. ukipita huko unaweza kuokoteza kitu.

ila ishu ya wapinzani kuchukua nchi sio kweli, hakuisema au sikuwahi kuiskia
 
utabiri huo ulifanyika na huyo sheikh akiishi magomeni pale hata leo panaitwa kwa sheikh yahaya. kazi yake kuu ilikuwa iyo ya kutabiri matukio mbalimbali nchini. kipindi icho Jk yupo kipindi chake cha kwanza cha raisi akasema ameona nchini inatawaliwa na raisi mwanamke ila hakusema ni lini itatokea ivo.

watu wakacheka sana😆na magazeti yakaandika sana. wengine wakidhani labda sheikh yule kachanganya mafaili au ndo kazidiwa na uzee. na kweli kwa kipindi icho uo utabiri haukuwa na maana kwa sababu nchi ilikuwa inaelekea kwenye uchaguzi.

JK alikuwa anamaliza kipindi cha miaka mitano ya mwanzo hlf atetee kipindi chake cha pili na kwa utaratibu wa ccm ni lazma JK angepitishwa tu.

kwaiyo kwa wakati ule utabiri ulikuwa hauna maana na wengi waliona ni kichekesho au ndoto za alinacha na sababu kubwa ni hiyo Jk alikuwa anaelekea kutetea nafasi yake kwa kipindi cha pili na hakukuwa na dalili kama chama chake au wananchi wangemkataa na hata huko ccm kwenyewe hakujawahi kusikika wanataka raisi mwanamke.

kwaiyo ilikuwa kichekesho sana lakini kumbe bdae sana ikaja kutimia. hata sheikh mwenyewe hakumshuhudia raisi mwanamke maana alikwishatangulia mbele ya haki kitambo.
 
Juu ya Hilo Kwa Huyo mwanamke Sahauni. (I know what I'm saying.) And why, She shall live more than Maria Nyerere. Mark those Words. ( Anaishi zaidi ya Mama maria Nyerere.) Weka akiba ya Hili kwa Watakao jaliwa kuishi kitambo hicho.
 
Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
1737742803493.jpg
 
Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
sheikh yahya alifariki 2021
Chai

Sheikh Yahya gani huyo aliyefariki 2021?
 
Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
CCM watahakikisha huo utabiri hautimii.
 
Sheikh Yahya alisema!
"Baada ya vipindi viwili vya Rais Jakaya Kikwete atakuja Rais ambaye ni mweusi mchapakazi lakini mchekeshaji. Hata hivyo,ataongoza kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata Rais mwanamke. Na baada ya hapo Upinzani utachukua nchi."
Sheikh Yahya alifariki 2021
CHADEMA iko katika hatua za mwisho kabsa kuchukua dola.
 
Hichi kitu ccm wanakipinga kwa nguvu zote, ila ni kweli alisema. Na video zake zenye ushahidi zimefutwa kwa nguvu zote mtandaoni.

Alishajitabiria kifo chake kwa kusema tarehe hiyo ndo mwisho wa dunia kumbe ndo mwisho wake yeye.

Mpaka sasa 75% ya utabiri wake umetimia.

R.i.p Chief
CHADEMA iko hatua za mwisho kabsa kuchukua dola.
 
Hichi kitu ccm wanakipinga kwa nguvu zote, ila ni kweli alisema. Na video zake zenye ushahidi zimefutwa kwa nguvu zote mtandaoni.

Alishajitabiria kifo chake kwa kusema tarehe hiyo ndo mwisho wa dunia kumbe ndo mwisho wake yeye.

Mpaka sasa 75% ya utabiri wake umetimia.

R.i.p Chief
Alikuwa kitten...g
 
Hangaya akiona huu utabiri kyupi kinajaa mavi.
 
Tunaimani huu utabiri utatimia.Maana tunaona kazi anayofanya huyu mwanamke ipo chini ya kiwango.Hii itapelekea watu kuwachagua wapinzani.
 
Back
Top Bottom