Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Na wewe unafungwa goli ngapi uko nyuma leoI salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za simba yanga
Yanga atashinda 4
Aziz ki moja, mzize moja, dube, pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa ateba atafunga .
Niamini mkuu weka mkeka yaani lazima utick tabiri zangu huwa zinatokea.Weekend itakua ya utulivu Sana simba akikandwa .
Mkuu tuweke na mkeka kabisaTawire Tawire! 💣
TushafuzuWeekend itakua ya utulivu Sana simba akikandwa .
Umeshashiba mchuzi na mahindi ya kuchoma.Toa na ahadi.I salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Ni kweliKichaa kimekuwamba...
Sisi sio kama nyie...
Ahadi ya nini na uzi huu hapa uhakika?Umeshashiba mchuzi na mahindi ya kuchoma.Toa na ahadi.
Endeleeni kugawa huko kwa wazoefu nyie mtaishia hapo hapoNi kweli
Sababu yanga hawachezi luza kwa wazembe wapo champions league.
Kwahiyo nyie Chezeni na kina Dib wa fc constantine
Toa ahadi kwamba utajinyonga hadharani halafu utoroke ndiyo ntakuamini ndugu "kroooo...krooooo...krooo"!Ahadi ya nini na uzi huu hapa uhakika?
Mimi nilitabiri mtakula kono la nyani kwenye uzi ule na ikatokea kweli sijawahi kufeli
Sawa Sheikh YahayaI salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Wenye akili hawapo jfBINAFSI YANGU NIKISOMA NYUZI KAMA HIZI NAMSHUKURU MUNGU KWA KUNIPA AKILI.
ASANTE MUNGU KWA KUNIPA AKILI.
Maneno ya mkosaji yahga anaenda kushika top 5 vichaka vinafyekwaEndeleeni kugawa huko kwa wazoefu nyie mtaishia hapo hapo
Aombe hata 'ban' kama anavyofanya siku zote....🤣🤣Toa ahadi kwamba utajinyonga hadharani halafu utoroke ndiyo ntakuamini ndugu "kroooo...krooooo...krooo"!