Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Buhahahaaaaaa...Maneno ya mkosaji yahga anaenda kushika top 5 vichaka vinafyekwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Buhahahaaaaaa...Maneno ya mkosaji yahga anaenda kushika top 5 vichaka vinafyekwa
Aombe tu aone atakavyofurahishwa moyo na roho.Aombe hata 'ban' kama anavyofanya siku zote....🤣🤣
Jamaa ana tujistori tuzuri sana kwa kunywea uji wa muhogo.Buhahahaaaaaa...
Kaahidi atamtoa mkewe aolewe na mfagiaji wa barabara kwa Mkapa iwapo Simba itashindakuchoma.Toa na ahadi.
Unaongea the oppositeI salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Tutaona unaweka nini wewe?Unaongea the opposite
Hapakufai hapa wewe kigagula
Hebu angalia hata majina tu yalivyoUtabiri murua hivi club bingwa na shirikisho nani mkubwa
Yana mwananchi mwenzio unaniita kigagula🤒😢Hapakufai hapa wewe kigagula
Una bahati umejitambulishaYana mwananchi mwenzio unaniita kigagula🤒😢
Nimelia sanaUna bahati umejitambulisha
Tatizo huku hupitagi sana ndiyo maana inakuwa ngumu kukujuaNimelia sana