Kumbe calculator bado zinatembea mpka sasa!!!I salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Amevurugwa....hahahaaYana mwananchi mwenzio unaniita kigagula🤒😢
Husemi hata samahani sasa,,hua napita sana muulze Vincenzo JrTatizo huku hupitagi sana ndiyo maana inakuwa ngumu kukujua
Hata mimi namuona yaani ameshndwa hata kunusa m n mwenzieAmevurugwa....hahahaa
Muwe mnakuja kuja jamani wadada wa gusa achia tulale...kaka zenu wawaone...Hata mimi namuona yaani ameshndwa hata kunusa m n mwenzie
Uchawi hauwezi kukufikisha popoteI salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
dada najua upo vzur kwenye hii midahalo 😂🙌🏾🙌🏾hua nakuona kwaio niache mimiMuwe mnakuja kuja jamani wadada wa gusa achia tulale...kaka zenu wawaone...
Ndiyo hapo sasa sijawahi kumuona humu sana sana anakuwaga kule jukwaa la mahusiano angekuwa huku tangu kitambo ningemjuaMuwe mnakuja kuja jamani wadada wa gusa achia tulale...kaka zenu wawaone...
Kuanzia leo unijue mimi ni yangaaaaaaNdiyo hapo sasa sijawahi kumuona humu sana sana anakuwaga kule jukwaa la mahusiano angekuwa huku tangu kitambo ningemjua
Hata tuambie imeishajeHii mechi nilishaichek kesho ni marudio.
Kasongo havuki makundi weweI salute you kinsmen.
Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga
Yanga atashinda goli 4
Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja,
Simba watakandwa 3-1
Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
Kesho saa 1 nitakuwa hapaKasongo havuki makundi wewe
Kama ulivyoandika mkuuHata tuambie imeishaje
Eeh hapo nimeshakujua huku ni tofauti na majukwaa yenu ya chit chat
Nawajua yanga wote kasoro wewe tu vizur
Wewe muimba singeli unadhani kila mtu humu ni jimama linalokulea huko mtaani kwenu eee...umejitambulisha usihofu hapa kolo wote wanadunda
Na simba nayajua yote mpaka Hilp jimama la hovyo Kalpana na mengine mazee.
Naiweka CCM rehaniTutaona unaweka nini wewe?