Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Events zinaoneshaIko hivi Upinzani Mwaka huu ujao hawatachukua Upinzani! Baada ya miaka 5 kuisha yaani mwaka 2030 ndio Upinzani Utachukua nchi Sio kwa uchaguzi ujao!
Jaribu kuyadadavua vizuri. Nina uhakika mwaka 2030 Upinzani wanachukua.
HahahaJamii Check waliwahi kukanusha kuhusu huo utabiri
Naam, alitabiri MANNE Yale MATATU ya mwanzo, yametimia kwa 100 asilimia halisi KABISA ! Hili la NNE linangojwa iiih . . . !Ukumbuke alitabiri kipindi cha JK, na yooote yakatimia sasa tusibiri lamli la mwishoooooooo
huwenda nimesahau lkn nakumbuka alisema kitu na alikufa hiyo tareheAcha kupotosga ,hakusema mwisho wa dunia.alisema kuna yukio litatokea siku hyo ambayo alikufa
wazee wa nchi, deep state watakubali lissu awe president?Lissu for president 2025View attachment 3185614
Unafikiri ZAMBIA,ZAIRE ,ALGERIA, TUNISIA, MISRI,LIBYA, ...hakukuwa naDeep State!?wazee wa nchi, deep state watakubali lissu awe president?
Una maoni gani
Weka video ,tuone kama ni yeye alisema kweli au ni mabandiko tuUtabiri unataka ushahid gani
Ni ngumu lakini huwezi kushindana na wakatiwazee wa nchi, deep state watakubali lissu awe president?
Na iwe hivyo Ameeen.Naam, alitabiri MANNE Yale MATATU ya mwanzo, yametimia kwa 100 asilimia halisi KABISA ! Hili la NNE linangojwa iiih . . . !
Weee hakuna wachawi km wazungu fatilia mila zao uone.Afrika tunawaamini sana wachawi,ndio maana tupo nyuma