Utabiri wako kwa mechi ya Taifa Stars dhidi ya Democratic Republic of Congo

Utabiri wako kwa mechi ya Taifa Stars dhidi ya Democratic Republic of Congo

Mimi nasema hivi HATUTOBOIII!!!mpira ni sayansi na sio hamasa!!kweli leo tunatiana moyo kuwa DRC, ilikuwa zamani kwa sasa hatuwezi!!eti wao wanacheza ki star, sisi ki timu!!hahaaa!!!tuseme ukweli kumfunga congo ni ngumu sana, lazima tuambizane ukweli, na ninafahamu baada ya mechi kesho, wachambuzi wote watabadirisha maneno, kuwa Congo wanawachezaji wa kimataifa wengi!!miaka yote tunaenda kwa kubahatisha bahatisha tu, ila bahati huwa ina kikomo chake!!leo kuna mchambuzi wa soka kwenye radio moja amesema ukweli, kuwa tuache kujazana upepo , kuifunga congo ni ngumu sana, ameambulia kuambiwa kuwa eti yeye sio mzalendo anatumika!!
HATUTOBIIII!!!
🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Mimi nasema hivi HATUTOBOIII!!!mpira ni sayansi na sio hamasa!!kweli leo tunatiana moyo kuwa DRC, ilikuwa zamani kwa sasa hatuwezi!!eti wao wanacheza ki star, sisi ki timu!!hahaaa!!!tuseme ukweli kumfunga congo ni ngumu sana, lazima tuambizane ukweli, na ninafahamu baada ya mechi kesho, wachambuzi wote watabadirisha maneno, kuwa Congo wanawachezaji wa kimataifa wengi!!miaka yote tunaenda kwa kubahatisha bahatisha tu, ila bahati huwa ina kikomo chake!!leo kuna mchambuzi wa soka kwenye radio moja amesema ukweli, kuwa tuache kujazana upepo , kuifunga congo ni ngumu sana, ameambulia kuambiwa kuwa eti yeye sio mzalendo anatumika!!
HATUTOBIIII!!!
🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Kwa timu yetu ilivyo inafikirisha sana, but kwa hamasa tunaweza pata ushindi ila sio kwa kuizidi Congo uwezo na tactics.

By the way ukiniuliza natamani nini, nitakwambia ni bora tungeanza kujipanga kushiriki afcon mara nyingi kuliko kukimbilia WC.

ALL THE BEST TO TANZANIA.
#THEBETTERTEAMWILLWIN.
lazma tutoboe ad group stage mkuu
 
Ukweli mchungu ni huu

Hakuna cha Taifa starz wala Congo wala madagascar . Wote hao hakuna ataefuzu kwenda Qatar
acha makasiriko mkuu...........QATAR tunaenda mapemaaa
 
lazma tutoboe ad group stage mkuu

Hii ndio group stage.. baada ya hapa inafata playoffs ya timu 10. Hapo ndipo mwisho wa safari kwa nchi za ukanda wetu.

Maana unakutana na ma algeria huko unapigwa zako 7 kwa 0 unajicheka mwenyewe..
 
Hii ndio group stage.. baada ya hapa inafata playoffs ya timu 10. Hapo ndipo mwisho wa safari kwa nchi za ukanda wetu.

Maana unakutana na ma algeria huko unapigwa zako 7 kwa 0 unajicheka mwenyewe..
tutapiga maombi heavy plus nyungu..........mpaka tutoboe
 
Kwenye ndoto niliyoota; Majira ya saa tisa usiku ndoto ilivyo anza tayari Taifa Stars 1 Congo Drc 1 . Dakika za baadae nikamuona Sammata akiifungia goli kali Taifa stars . Mpaka dakika 90 zinaisha , Taifa Stars inaibuka na Ushindi wa goli 2 na Congo Drc 1 .
 
Hata Stars ikifuzu ni kujitafutia fedheha tu huko mbele ya safari.

Itakuwa ndiyo laughing stock ya tournament kutokana na vipigo heavy.😁.
 
Back
Top Bottom