Kitu kizito kimekuangukia ukiwa wapi?😂😂😂😂😂😂😂😂😂 QATAR lazma tuende
Tumeshinda njaa au sioRudia tena kutabiri mkuu, utaaibika kesho tunashnda
Wengine hatuongei tu kwa mapenzi, tunazungumza uhalisia.kwa taifa stars hii........lazima tutoboe
As i expected.lazma tutoboe ad group stage mkuu
Yametokea mkuuHuo ndio ukweli mkuu, shughuli imalizwe tu leo hii tusije kupotezeana muda baadae
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Stars ikifuzu ni kujitafutia fedheha tu huko mbele ya safari.
Itakuwa ndiyo laughing stock ya tournament kutokana na vipigo heavy.[emoji16].
ata utajiri tunawategemea waoYaani kwamba Tanzania kombe la dunia
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Acheni masihara nyie, nguvu za kiume tu mnaenda kuchukua kwao then leo muwafunge..... Abadani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kitu kizito kimekuangukia ukiwa wapi?
I you knew it why you said we would win the tournament?sometime footbal is governed by wizards mkuuuu