Utabiri wakutisha ktk mbuga za Serengeti Kifo cha Simba dume Bob Junior

We dogo unanikumbusha kisa cha mvujisha siri mmoja huko Korea aliyejitambulisha kama msoma nyota, yeye akipost kwenye page yake kisha matukio ya kuogofya yakifuatia, credit kwako nilikusoma December ulipotabili mabadiliko ambayo sote kwakweli tuliyaona hata mauti ya Saa nane ulivujisha siri humu, hata Mr Young bro TL anyway wewe ni best kwenye ulimwengu wako
Siwezi fungua code zote maana niutabiri. Nimefanya hivi kuwakumbusha hii move sio ya Faru John ni ya namna yake
 
Kwamba!!!

Bt ashambuliwe bila msaada na kwenda KWA yule aliemleta!

Rafiki yake wa KARIBU akapotea mwenye jinsia ya kike asimsaidie wakati anashambuliwa!

Baada ya hapo yule aliewatuma kumshambulia BT anageukwa na yeye asiwe na uwezo wa kuwa maintain!kunatokea vurugu!

Amri inatolewa na Jamhuri kuwa kutokana fujo zote hizo chama kimepoteza mvuto hivyo madaraka yaende kwingine KWA mtu asietarajiwa makada wenye umiliki wa UTAJIRI kupitia chama watalia na kusaga meno!


NIMEJARIBU ku DECODE!

Tusubiri mi Huwa sibezi maandishi YAKO mkuu!!
Sasha hatomsaidia BT WAKATI anashughulikiwa Sio!!

TUSUBIRI!!
 

Huna utabiri wowote ww famba, zaidi ya kushiriki kumuua Ben Saanane ww mrundi hunalote unajua
 
Kwa hiyo tungeamua ugomvi wao yangekuwa tofauti na huu utabiri maana kungekuwa na uwezekano kabla ya ugomvi wao angepelekwa zoo yasingetokea haya

Ila kama ni utabiri basi tusubiri kutawaliwa na Simba na sisi tunaapa safari hii tutakuwa mbwa mwitu na kuvamia kwa pamoja na nyuma tunaweka FISI wamalize mifupa
 
Siwezi fungua code zote maana niutabiri. Nimefanya hivi kuwakumbusha hii move sio ya Faru John ni ya namna yake
Huko CCM hakuna wa kumpinga mwenyekiti, JK alikua dhaifu ila alikaa miaka 10 ndio sembuse Samia?? So unless atolewe na upinzani ila ndani ya CCM hayupo wa kumfanya lolote. Mind you atasimamia vikao vyote, chaguzi zote za ndani kajaza watu wake so sioni vipi mtamuangusha.
 
Hiki kijamaa kinajitutumua kweli kujaribu kuzuia mafuriko kwa mikono. Tulia wewe yajayo yakufurahishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…