Utabiri wakutisha ktk mbuga za Serengeti Kifo cha Simba dume Bob Junior

Utabiri wakutisha ktk mbuga za Serengeti Kifo cha Simba dume Bob Junior

Simba walikuwa saba, badae wakajigawa wakawa wanne kwa watatu.. kwa mujibu wa chaba pori ambae mpiga picha na mfuatiliaji wa movement za wanyama
Simba alipotea bissau kwa kupigwa 1 na horoya akaja dar akapigwa 3 na raja! Leo kaja na kam back kamkojolea mtu vi 7! na kutinga robo fainal Sijui kesho mwananchi itakuwaje? Ngoja niandike tu hiv maana uandish wa mafumbo mafumbo ni kama umbea uliochangamka
 
Utabiri ambao umejificha ktk kifo cha Simba bob junior ama kwa akika ni Utabiri wakutisha Kuna watu wanadhani may be unahusu serikali ya sita vile umetokea na mwezi ulio tokea.
Mimi nataka kuwa ambia kile kimetokea ktk mbuga ya Serengeti ni Utabiri ambao ni very complex.

Ktk mbuga ya Serengeti palikuwa na Simba bob junior Simba huyu pamoja na kuwa Simba alikuwa Simba mtu wa watu Simba alie kuwa na himaya kubwa kutokana na uwezo wake na nguvu zake. Ila ktk hali yakushitua palitokea kundi la Simba madume watatu makatili ambao ndio walio katisha Uhai wake. Ktk sheria za wanyama pori hakuna kuingia ugomvi wao na ndio maana kifo cha Simba huyu kilikuwa ni kifo cha uchungu na huzuni while picha zikichukulia ila kama inavyojulikana ktk maisha ya Simba huwa wanaishi kama familia na hawachangamani ndio maana unaambiwa yupo Simba rafiki wa Bob junior ajulikani alipo.

Nini Utabiri nyuma ya hili tukio. Utabiri huu ni mzito na unahusu mabadiliko yakiuongozi ktk Tanzania na kwakuwa idara kazi yao imekuwa kulinda amani na ustawi wake wao hawatoingia ktk michakato yakisiasa ambapo ndani yake kutakuwa na mtifuwano wa mwaka ktk chama kikubwa hapa Tz mbaya kuliko yote huyo Simba ambaye kwa sasa ndie mkuu kwenye huwo ukoo wenzake watatu wataibuka nakusema hutotupangia tena maana Simba huyo atataka kupanga nani awe nani kama alivyo panga hapo zamani. Sasa hawa Simba watatu wakali hawatokubali nakitakacho tokea kitakuwa white paper.

Pili yule Simba alie potea atakapo ona mtume kumbe Kuna white paper atapotea kusiko julikana mpaka mchakato utakapo Isha.

Note
Wakati hayo yanatokea wana jamuhuri watakuwa wakiongoza jamuhuri mpaka Moshi mweupe utoke. Hawatohusika na ugomvi wa simba.
Pili ugomvi huu ni wamasimba dume hivyo usichanganye jinsia.
Tatu Simba alie potea tafuta jinsia yake. Hii ni Tz inatisha sana

Huu ni Utabiri hivyo ukitaka amini ukitaka potezea ila ombea Taifa lako. Kwa machozi na dam.
Wewe ni mtabiri uchwara pumbavu , unaleta porojo kisa uyu simba amejulikana tokana na kufatiliwa vizuri na watunza hifadhi, wameuana mara ngapi huko maporini wakitafuta ngome zao ? Huu mjinga wa kutafuta Kiki za kishamba ,pumbavu, wafikili utabili ni kama kula pipi,
Lengo lako kuleta taharuki ya kishamba pumbavu
 
Utabiri ambao umejificha ktk kifo cha Simba bob junior ama kwa akika ni Utabiri wakutisha Kuna watu wanadhani may be unahusu serikali ya sita vile umetokea na mwezi ulio tokea.
Mimi nataka kuwa ambia kile kimetokea ktk mbuga ya Serengeti ni Utabiri ambao ni very complex.

Ktk mbuga ya Serengeti palikuwa na Simba bob junior Simba huyu pamoja na kuwa Simba alikuwa Simba mtu wa watu Simba alie kuwa na himaya kubwa kutokana na uwezo wake na nguvu zake. Ila ktk hali yakushitua palitokea kundi la Simba madume watatu makatili ambao ndio walio katisha Uhai wake. Ktk sheria za wanyama pori hakuna kuingia ugomvi wao na ndio maana kifo cha Simba huyu kilikuwa ni kifo cha uchungu na huzuni while picha zikichukulia ila kama inavyojulikana ktk maisha ya Simba huwa wanaishi kama familia na hawachangamani ndio maana unaambiwa yupo Simba rafiki wa Bob junior ajulikani alipo.

Nini Utabiri nyuma ya hili tukio. Utabiri huu ni mzito na unahusu mabadiliko yakiuongozi ktk Tanzania na kwakuwa idara kazi yao imekuwa kulinda amani na ustawi wake wao hawatoingia ktk michakato yakisiasa ambapo ndani yake kutakuwa na mtifuwano wa mwaka ktk chama kikubwa hapa Tz mbaya kuliko yote huyo Simba ambaye kwa sasa ndie mkuu kwenye huwo ukoo wenzake watatu wataibuka nakusema hutotupangia tena maana Simba huyo atataka kupanga nani awe nani kama alivyo panga hapo zamani. Sasa hawa Simba watatu wakali hawatokubali nakitakacho tokea kitakuwa white paper.

Pili yule Simba alie potea atakapo ona mtume kumbe Kuna white paper atapotea kusiko julikana mpaka mchakato utakapo Isha.

Note
Wakati hayo yanatokea wana jamuhuri watakuwa wakiongoza jamuhuri mpaka Moshi mweupe utoke. Hawatohusika na ugomvi wa simba.
Pili ugomvi huu ni wamasimba dume hivyo usichanganye jinsia.
Tatu Simba alie potea tafuta jinsia yake. Hii ni Tz inatisha sana

Huu ni Utabiri hivyo ukitaka amini ukitaka potezea ila ombea Taifa lako. Kwa machozi na dam.
Umechanganyikiwa Mkuu Nenda hospitali.
 
Utabiri ambao umejificha ktk kifo cha Simba bob junior ama kwa akika ni Utabiri wakutisha Kuna watu wanadhani may be unahusu serikali ya sita vile umetokea na mwezi ulio tokea.
Mimi nataka kuwa ambia kile kimetokea ktk mbuga ya Serengeti ni Utabiri ambao ni very complex.

Ktk mbuga ya Serengeti palikuwa na Simba bob junior Simba huyu pamoja na kuwa Simba alikuwa Simba mtu wa watu Simba alie kuwa na himaya kubwa kutokana na uwezo wake na nguvu zake. Ila ktk hali yakushitua palitokea kundi la Simba madume watatu makatili ambao ndio walio katisha Uhai wake. Ktk sheria za wanyama pori hakuna kuingia ugomvi wao na ndio maana kifo cha Simba huyu kilikuwa ni kifo cha uchungu na huzuni while picha zikichukulia ila kama inavyojulikana ktk maisha ya Simba huwa wanaishi kama familia na hawachangamani ndio maana unaambiwa yupo Simba rafiki wa Bob junior ajulikani alipo.

Nini Utabiri nyuma ya hili tukio. Utabiri huu ni mzito na unahusu mabadiliko yakiuongozi ktk Tanzania na kwakuwa idara kazi yao imekuwa kulinda amani na ustawi wake wao hawatoingia ktk michakato yakisiasa ambapo ndani yake kutakuwa na mtifuwano wa mwaka ktk chama kikubwa hapa Tz mbaya kuliko yote huyo Simba ambaye kwa sasa ndie mkuu kwenye huwo ukoo wenzake watatu wataibuka nakusema hutotupangia tena maana Simba huyo atataka kupanga nani awe nani kama alivyo panga hapo zamani. Sasa hawa Simba watatu wakali hawatokubali nakitakacho tokea kitakuwa white paper.

Pili yule Simba alie potea atakapo ona mtume kumbe Kuna white paper atapotea kusiko julikana mpaka mchakato utakapo Isha.

Note
Wakati hayo yanatokea wana jamuhuri watakuwa wakiongoza jamuhuri mpaka Moshi mweupe utoke. Hawatohusika na ugomvi wa simba.
Pili ugomvi huu ni wamasimba dume hivyo usichanganye jinsia.
Tatu Simba alie potea tafuta jinsia yake. Hii ni Tz inatisha sana

Huu ni Utabiri hivyo ukitaka amini ukitaka potezea ila ombea Taifa lako. Kwa machozi na dam.
Ni ujijnga ujinga tu, hakuna lolote
 
Ni kwanini mnashindwa kukielewa alichokiandika mleta mada kwa kigezo cha ukawaida wa matukio...??

Kwani kunyesha kwa mvua sio kawaida? Basi kwanini mvua ikinyesha wakati wa matendo muhimu ya kiimani tunasema ni baraka kutoka kwa Mungu?

Tunachopaswa kutambua ni kwamba karibia nyakati zote nature au Mungu (whatever you can phrase it) amekuwa akitumia ukawaida kufikisha ujumbe ambao sio wa kawaida. Vitabu vingi vya kiimani vimejaa ushahidi wa hichi nilichokiandika.

Matukio mengi ya kawaida yalitumika kufikisha ujumbe usio wa kawaida.

Macho yamejaa uongo kiasi ya kwamba wengi mnashindwa kuutambua ukweli ulio mbele ya macho yenu!
 
Hiki kijamaa kinajitutumua kweli kujaribu kuzuia mafuriko kwa mikono. Tulia wewe yajayo yakufurahishe.
Mafuriko Gani wakati Mpina kakatwa hamna kitu mmefanya. Nyie mna kelele tu ila hampo organized Wala relevant. Natamani muanzishe chama ndio tuone mpo serious sio mnalinda posho zenu CCM alafu mtegemee mumuondoe mama kiulaini. Yatatokea ya membe 2020 au sitta 2010
 
Huko CCM hakuna wa kumpinga mwenyekiti, JK alikua dhaifu ila alikaa miaka 10 ndio sembuse Samia?? So unless atolewe na upinzani ila ndani ya CCM hayupo wa kumfanya lolote. Mind you atasimamia vikao vyote, chaguzi zote za ndani kajaza watu wake so sioni vipi mtamuangusha.
Picha itakuwa mithili ya picha za CIA na mossad hakuna wakuamini
 
Back
Top Bottom