The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Jina lako tuu tayari ni code iliyojificha ila kwa watu wenye kujua, na huu utabiri unasema ni code naomba nije ni break hii comment yangu utabiri utakapokamilika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakukubali Sana tumainiEl, litokee katika Jina la Yesu.Utabiri ambao umejificha ktk kifo cha Simba bob junior ama kwa akika ni Utabiri wakutisha Kuna watu wanadhani may be unahusu serikali ya sita vile umetokea na mwezi ulio tokea.
Mimi nataka kuwa ambia kile kimetokea ktk mbuga ya Serengeti ni Utabiri ambao ni very complex.
Ktk mbuga ya Serengeti palikuwa na Simba bob junior Simba huyu pamoja na kuwa Simba alikuwa Simba mtu wa watu Simba alie kuwa na himaya kubwa kutokana na uwezo wake na nguvu zake. Ila ktk hali yakushitua palitokea kundi la Simba madume watatu makatili ambao ndio walio katisha Uhai wake. Ktk sheria za wanyama pori hakuna kuingia ugomvi wao na ndio maana kifo cha Simba huyu kilikuwa ni kifo cha uchungu na huzuni while picha zikichukulia ila kama inavyojulikana ktk maisha ya Simba huwa wanaishi kama familia na hawachangamani ndio maana unaambiwa yupo Simba rafiki wa Bob junior ajulikani alipo.
Nini Utabiri nyuma ya hili tukio. Utabiri huu ni mzito na unahusu mabadiliko yakiuongozi ktk Tanzania na kwakuwa idara kazi yao imekuwa kulinda amani na ustawi wake wao hawatoingia ktk michakato yakisiasa ambapo ndani yake kutakuwa na mtifuwano wa mwaka ktk chama kikubwa hapa Tz mbaya kuliko yote huyo Simba ambaye kwa sasa ndie mkuu kwenye huwo ukoo wenzake watatu wataibuka nakusema hutotupangia tena maana Simba huyo atataka kupanga nani awe nani kama alivyo panga hapo zamani. Sasa hawa Simba watatu wakali na katili wakiwa ndani kwa siri hawatokubali nakitakacho tokea kitakuwa white paper.
Hawa Simba watatu wataibuka kusiko julikana ila idara zitawaona japo kama wale watalii ndivyo idara zitakavyokuwa kupiga picha nakuangalia mtifuwano Wakikata na shoka.
Bifu hili la Simba dume dhidi ya majike ni bifu lakutisha sana ktk history ya Taifa letu.
Jike linalo gombaniwa ni utawala usichanganye madesa japo majike ktk Utabiri ni jinsia ila sio mmoja.
Nani alipanga nani alianda hawa Simba hatari wenye uchu wakutawala is unknown code
Pili yule Simba alie potea atakapo ona mtume kumbe Kuna white paper atapotea kusiko julikana mpaka mchakato utakapo Isha.
Note
Wakati hayo yanatokea wana jamuhuri watakuwa wakiongoza jamuhuri mpaka Moshi mweupe utoke. Hawatohusika na ugomvi wa simba.
Pili ugomvi huu ni wamasimba dume hivyo usichanganye jinsia.
Tatu Simba alie potea tafuta jinsia yake. Hii ni Tz inatisha sana
Huu ni Utabiri hivyo ukitaka amini ukitaka potezea ila ombea Taifa lako. Kwa machozi na dam.
Hehehehe Asante mkubwaWewe ni mtabiri uchwara pumbavu , unaleta porojo kisa uyu simba amejulikana tokana na kufatiliwa vizuri na watunza hifadhi, wameuana mara ngapi huko maporini wakitafuta ngome zao ? Huu mjinga wa kutafuta Kiki za kishamba ,pumbavu, wafikili utabili ni kama kula pipi,
Lengo lako kuleta taharuki ya kishamba pumbavu
Ni sawa na mtu hautaki kufanya kazi halafu unaenda kwenye nyumba ya ibada unasali kweli kweli kuomba Mungu akushushie chakula na pesa kutoka mbinguni 😂.Utabiri ambao umejificha ktk kifo cha Simba Bob Junior ama kwa hakika ni Utabiri wakutisha Kuna watu wanadhani may be unahusu serikali ya sita vile umetokea na mwezi ulio tokea.
Mimi nataka kuwaambia kile kimetokea ktk mbuga ya Serengeti ni Utabiri ambao ni very complex.
Ktk mbuga ya Serengeti palikuwa na Simba Bob Junior Simba huyu pamoja na kuwa Simba alikuwa Simba mtu wa watu Simba alie kuwa na himaya kubwa kutokana na uwezo wake na nguvu zake. Ila ktk hali yakushitua palitokea kundi la Simba madume watatu makatili ambao ndio waliokatisha Uhai wake.
Ktk sheria za wanyama pori hakuna kuingia ugomvi wao na ndio maana kifo cha Simba huyu kilikuwa ni kifo cha uchungu na huzuni while picha zikichukulia ila kama inavyojulikana ktk maisha ya Simba huwa wanaishi kama familia na hawachangamani ndio maana unaambiwa yupo Simba rafiki wa Bob Junior ajulikani alipo.
Nini Utabiri nyuma ya hili tukio. Utabiri huu ni mzito na unahusu mabadiliko yakiuongozi ktk Tanzania na kwakuwa idara kazi yao imekuwa kulinda amani na ustawi wake wao hawatoingia ktk michakato ya kisiasa ambapo ndani yake kutakuwa na mtifuwano wa mwaka ktk chama kikubwa hapa Tz mbaya kuliko yote huyo Simba ambaye kwa sasa ndie mkuu kwenye huo ukoo wenzake watatu wataibuka nakusema hutotupangia tena maana Simba huyo atataka kupanga nani awe nani kama alivyo panga hapo zamani. Sasa hawa Simba watatu wakali na katili wakiwa ndani kwa siri hawatokubali na kitakacho tokea kitakuwa white paper.
Hawa Simba watatu wataibuka kusiko julikana ila idara zitawaona japo kama wale watalii ndivyo idara zitakavyokuwa kupiga picha nakuangalia mtifuwano Wakikata na shoka.
Bifu hili la Simba dume dhidi ya majike ni bifu lakutisha sana ktk history ya Taifa letu.
Jike linalo gombaniwa ni utawala usichanganye madesa japo majike ktk Utabiri ni jinsia ila sio mmoja.
Nani alipanga nani alianda hawa Simba hatari wenye uchu wakutawala is unknown code
Pili yule Simba aliepotea atakapo ona mtume kumbe Kuna white paper atapotea kusiko julikana mpaka mchakato utakapo Isha.
Note
Wakati hayo yanatokea wana jamuhuri watakuwa wakiongoza jamuhuri mpaka Moshi mweupe utoke. Hawatohusika na ugomvi wa simba.
Pili ugomvi huu ni wamasimba dume hivyo usichanganye jinsia.
Tatu Simba aliepotea tafuta jinsia yake. Hii ni Tz inatisha sana
Huu ni Utabiri hivyo ukitaka amini ukitaka potezea ila ombea Taifa lako. Kwa machozi na dam.
hujaielewa hiyo codingHuko CCM hakuna wa kumpinga mwenyekiti, JK alikua dhaifu ila alikaa miaka 10 ndio sembuse Samia?? So unless atolewe na upinzani ila ndani ya CCM hayupo wa kumfanya lolote. Mind you atasimamia vikao vyote, chaguzi zote za ndani kajaza watu wake so sioni vipi mtamuangusha.
waja wauaji na wanyonyaj ?Viroboto wanatamani litokee jambo mioyo yao ipoe,mtashindwa na utabiri wenu mavi.
Mungu aliamua kuliondoa lile joka kuepusha maafa kwa waja wake hivyo alikuwa na makusudi yake.
Sikujuwi hunijuwi ila angalia maneno yako maana yanamajibu ya maneno yako.Wewe ni mtabiri uchwara pumbavu , unaleta porojo kisa uyu simba amejulikana tokana na kufatiliwa vizuri na watunza hifadhi, wameuana mara ngapi huko maporini wakitafuta ngome zao ? Huu mjinga wa kutafuta Kiki za kishamba ,pumbavu, wafikili utabili ni kama kula pipi,
Lengo lako kuleta taharuki ya kishamba pumbavu
Niliwahi kuandika DP world 🌎 sasa inatufumbua macho zaidi. Kongole muandaaji wa mchezoUtabiri ambao umejificha ktk kifo cha Simba Bob Junior ama kwa hakika ni Utabiri wakutisha Kuna watu wanadhani may be unahusu serikali ya sita vile umetokea na mwezi ulio tokea.
Mimi nataka kuwaambia kile kimetokea ktk mbuga ya Serengeti ni Utabiri ambao ni very complex.
Ktk mbuga ya Serengeti palikuwa na Simba Bob Junior Simba huyu pamoja na kuwa Simba alikuwa Simba mtu wa watu Simba alie kuwa na himaya kubwa kutokana na uwezo wake na nguvu zake. Ila ktk hali yakushitua palitokea kundi la Simba madume watatu makatili ambao ndio waliokatisha Uhai wake.
Ktk sheria za wanyama pori hakuna kuingia ugomvi wao na ndio maana kifo cha Simba huyu kilikuwa ni kifo cha uchungu na huzuni while picha zikichukulia ila kama inavyojulikana ktk maisha ya Simba huwa wanaishi kama familia na hawachangamani ndio maana unaambiwa yupo Simba rafiki wa Bob Junior ajulikani alipo.
Nini Utabiri nyuma ya hili tukio. Utabiri huu ni mzito na unahusu mabadiliko yakiuongozi ktk Tanzania na kwakuwa idara kazi yao imekuwa kulinda amani na ustawi wake wao hawatoingia ktk michakato ya kisiasa ambapo ndani yake kutakuwa na mtifuwano wa mwaka ktk chama kikubwa hapa Tz mbaya kuliko yote huyo Simba ambaye kwa sasa ndie mkuu kwenye huo ukoo wenzake watatu wataibuka nakusema hutotupangia tena maana Simba huyo atataka kupanga nani awe nani kama alivyo panga hapo zamani. Sasa hawa Simba watatu wakali na katili wakiwa ndani kwa siri hawatokubali na kitakacho tokea kitakuwa white paper.
Hawa Simba watatu wataibuka kusiko julikana ila idara zitawaona japo kama wale watalii ndivyo idara zitakavyokuwa kupiga picha nakuangalia mtifuwano Wakikata na shoka.
Bifu hili la Simba dume dhidi ya majike ni bifu lakutisha sana ktk history ya Taifa letu.
Jike linalo gombaniwa ni utawala usichanganye madesa japo majike ktk Utabiri ni jinsia ila sio mmoja.
Nani alipanga nani alianda hawa Simba hatari wenye uchu wakutawala is unknown code
Pili yule Simba aliepotea atakapo ona mtume kumbe Kuna white paper atapotea kusiko julikana mpaka mchakato utakapo Isha.
Note
Wakati hayo yanatokea wana jamuhuri watakuwa wakiongoza jamuhuri mpaka Moshi mweupe utoke. Hawatohusika na ugomvi wa simba.
Pili ugomvi huu ni wamasimba dume hivyo usichanganye jinsia.
Tatu Simba aliepotea tafuta jinsia yake. Hii ni Tz inatisha sana
Huu ni Utabiri hivyo ukitaka amini ukitaka potezea ila ombea Taifa lako. Kwa machozi na dam.
Kitu inaenda upinzani, bt tumejiandaaje na mnyukano?Kwamba!!!
Bt ashambuliwe bila msaada na kwenda KWA yule aliemleta!
Rafiki yake wa KARIBU akapotea mwenye jinsia ya kike asimsaidie wakati anashambuliwa!
Baada ya hapo yule aliewatuma kumshambulia BT anageukwa na yeye asiwe na uwezo wa kuwa maintain!kunatokea vurugu!
Amri inatolewa na Jamhuri kuwa kutokana fujo zote hizo chama kimepoteza mvuto hivyo madaraka yaende kwingine KWA mtu asietarajiwa makada wenye umiliki wa UTAJIRI kupitia chama watalia na kusaga meno!
NIMEJARIBU ku DECODE!
Tusubiri mi Huwa sibezi maandishi YAKO mkuu!!
Sasha hatomsaidia BT WAKATI anashughulikiwa Sio!!
TUSUBIRI!!
Usiendeshwe na hisia, mambo ni mengi usoyajua.Wewe ni mtabiri uchwara pumbavu , unaleta porojo kisa uyu simba amejulikana tokana na kufatiliwa vizuri na watunza hifadhi, wameuana mara ngapi huko maporini wakitafuta ngome zao ? Huu mjinga wa kutafuta Kiki za kishamba ,pumbavu, wafikili utabili ni kama kula pipi,
Lengo lako kuleta taharuki ya kishamba pumbavu
ELIMU Haina mwisho Tindo, usikubali kumiliki Elimu, jiongezee maarifa!!Huna utabiri wowote ww famba, zaidi ya kushiriki kumuua Ben Saanane ww mrundi hunalote unajua