Utabiri wakutisha ktk mbuga za Serengeti Kifo cha Simba dume Bob Junior

Simba walikuwa saba, badae wakajigawa wakawa wanne kwa watatu.. kwa mujibu wa chaba pori ambae mpiga picha na mfuatiliaji wa movement za wanyama
Simba alipotea bissau kwa kupigwa 1 na horoya akaja dar akapigwa 3 na raja! Leo kaja na kam back kamkojolea mtu vi 7! na kutinga robo fainal Sijui kesho mwananchi itakuwaje? Ngoja niandike tu hiv maana uandish wa mafumbo mafumbo ni kama umbea uliochangamka
 
Wewe ni mtabiri uchwara pumbavu , unaleta porojo kisa uyu simba amejulikana tokana na kufatiliwa vizuri na watunza hifadhi, wameuana mara ngapi huko maporini wakitafuta ngome zao ? Huu mjinga wa kutafuta Kiki za kishamba ,pumbavu, wafikili utabili ni kama kula pipi,
Lengo lako kuleta taharuki ya kishamba pumbavu
 
Umechanganyikiwa Mkuu Nenda hospitali.
 
Ni ujijnga ujinga tu, hakuna lolote
 
Ni kwanini mnashindwa kukielewa alichokiandika mleta mada kwa kigezo cha ukawaida wa matukio...??

Kwani kunyesha kwa mvua sio kawaida? Basi kwanini mvua ikinyesha wakati wa matendo muhimu ya kiimani tunasema ni baraka kutoka kwa Mungu?

Tunachopaswa kutambua ni kwamba karibia nyakati zote nature au Mungu (whatever you can phrase it) amekuwa akitumia ukawaida kufikisha ujumbe ambao sio wa kawaida. Vitabu vingi vya kiimani vimejaa ushahidi wa hichi nilichokiandika.

Matukio mengi ya kawaida yalitumika kufikisha ujumbe usio wa kawaida.

Macho yamejaa uongo kiasi ya kwamba wengi mnashindwa kuutambua ukweli ulio mbele ya macho yenu!
 
Hiki kijamaa kinajitutumua kweli kujaribu kuzuia mafuriko kwa mikono. Tulia wewe yajayo yakufurahishe.
Mafuriko Gani wakati Mpina kakatwa hamna kitu mmefanya. Nyie mna kelele tu ila hampo organized Wala relevant. Natamani muanzishe chama ndio tuone mpo serious sio mnalinda posho zenu CCM alafu mtegemee mumuondoe mama kiulaini. Yatatokea ya membe 2020 au sitta 2010
 
Picha itakuwa mithili ya picha za CIA na mossad hakuna wakuamini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…