Utabiri wakutisha ktk mbuga za Serengeti Kifo cha Simba dume Bob Junior

Nakukubali Sana tumainiEl, litokee katika Jina la Yesu.
 
Hehehehe Asante mkubwa
 
Ni sawa na mtu hautaki kufanya kazi halafu unaenda kwenye nyumba ya ibada unasali kweli kweli kuomba Mungu akushushie chakula na pesa kutoka mbinguni 😂.

Tuchukulie mfano Mungu akakujibia maombi yako, ukaona sasa meza inashuka kutoka mbinguni imejaa vyakula vya kila aina pamoja na ma bulungutu ya pesa hivi utabaki hilo eneo la ibada? Kama si kutimua mabio ? Sasa hii ndiyo hulka ya sisi WATANZANIA

Tunapenda mabadiliko ndiyo! ila hatupendi kuyatafuta kwa nguvu zetu tunasubiri aje masihi na mtume atuongoze kuyatafuta

TUTASUBIRI SANA ,AMKA KWENYE HIYO NDOTO MKUU
 
hujaielewa hiyo coding
 
Viroboto wanatamani litokee jambo mioyo yao ipoe,mtashindwa na utabiri wenu mavi.
Mungu aliamua kuliondoa lile joka kuepusha maafa kwa waja wake hivyo alikuwa na makusudi yake.
waja wauaji na wanyonyaj ?
 
Sikujuwi hunijuwi ila angalia maneno yako maana yanamajibu ya maneno yako.
 
Niliwahi kuandika DP world 🌎 sasa inatufumbua macho zaidi. Kongole muandaaji wa mchezo
 
Kitu inaenda upinzani, bt tumejiandaaje na mnyukano?

Maana shida hiyo haijawahi kuruhusiwa Kutokea tangu 1995!!
 
Usiendeshwe na hisia, mambo ni mengi usoyajua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…