Utabiri Wangu: Bingwa wa Ligi ya NBC 2023/24 ni Azam FC

Utabiri Wangu: Bingwa wa Ligi ya NBC 2023/24 ni Azam FC

Hili swala lipo kihisia zaidi. Ni mapema mno kuweza kutabiri.

Kwanza, hujajua uzito na ujazo wa vikosi husika. Usajili ndo kwanza unaanza. Azam haina hata kocha bado. Haijasajili bado mchezaji mpya.

Pili, Ligi yetu ya NBC wenye kuonyesha kiu ya kulitaka haswa ni wawili. Wanachukua kwa kupokezana, Lunyasi na Utopolo. Azam bado haijajijenga kuwa mtafuta Ubingwa.

Hata kama Azam atachukua, si kwa sababu uliona kiutaalam bali hisia zako zilikuongoza kuropoka.
 
Hili swala lipo kihisia zaidi. Ni mapema mno kuweza kutabiri.

Kwanza, hujajua uzito na ujazo wa vikosi husika. Usajili ndo kwanza unaanza. Azam haina hata kocha bado. Haijasajili bado mchezaji mpya.

Pili, Ligi yetu ya NBC wenye kuonyesha kiu ya kulitaka haswa ni wawili. Wanachukua kwa kupokezana, Lunyasi na Utopolo. Azam bado haijajijenga kuwa mtafuta Ubingwa.

Hata kama Azam atachukua, si kwa sababu uliona kiutaalam bali hisia zako zilikuongoza kuropoka.
"....Azam haina hata kocha..."

Mkuu upo sawa kweli, ama upo upo tu?
 
Back
Top Bottom