Utabiri wangu, Hawa ndiyo washindi wa MtvMama Awards 2016

Utabiri wangu, Hawa ndiyo washindi wa MtvMama Awards 2016

Kashasahau kua mnyama wizkido yupona king wake [emoji23] [emoji23]

Wizkid mbwa koko tu mbele ya king umesahau mombasa wizkid alianza kupandishwa jukwaan mchana jua kali alaf king akaperfom mwishon kwa kumkaribisha mnyama mwenzake Chris breezy
 
Wizkid mbwa koko tu mbele ya king umesahau mombasa wizkid alianza kupandishwa jukwaan mchana jua kali alaf king akaperfom mwishon kwa kumkaribisha mnyama mwenzake Chris breezy
we jamaa n chenga kichizi ..nilikuaga nakuonaa wa maana kumbe b..y..a tu.
 
Wizkid mbwa koko tu mbele ya king umesahau mombasa wizkid alianza kupandishwa jukwaan mchana jua kali alaf king akaperfom mwishon kwa kumkaribisha mnyama mwenzake Chris breezy
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] basi sawa tutaona kati ya wizkid na king kibakuli hehehe ila kiba akikosa tuzo uje hapa ulalamike tena eeeehhh
 
Mkuu wizkid ni mbwa tu mbele ya Kingkiba, wiz mziki hajui yule sema mnampa promo nyingi, kwahyo Mtvema ni uhakika King atamchapa wiz na babu yake yule black coffee saa 2 asubuhi, inshort wizkid ataendelea kuwaonea underground wenzie wakina diamond, but kwa king wiz mshenzi tu hana kitu.
Sasa nimeelewa kwanini The King of Zumunda aligoma kupanda jukwaani kabla ya Wizkid.
 
Mkuu wizkid ni mbwa tu mbele ya Kingkiba, wiz mziki hajui yule sema mnampa promo nyingi, kwahyo Mtvema ni uhakika King atamchapa wiz na babu yake yule black coffee saa 2 asubuhi, inshort wizkid ataendelea kuwaonea underground wenzie wakina diamond, but kwa king wiz mshenzi tu hana kitu.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Una roho ngumu sana kujiaminisha ali kiba ni msanii mkubwa
Mi nijuavyo ali ni msanii wa tanzania na Kenya bado hajavuka mipaka ya hizo nchi mbili
 
Mkuu wizkid ni mbwa tu mbele ya Kingkiba, wiz mziki hajui yule sema mnampa promo nyingi, kwahyo Mtvema ni uhakika King atamchapa wiz na babu yake yule black coffee saa 2 asubuhi, inshort wizkid ataendelea kuwaonea underground wenzie wakina diamond, but kwa king wiz mshenzi tu hana kitu.
kumbe we ni team kiba!... siushangai utabiri wako
 
Zikiwa zimebaki takribani siku 4 kufanyika kwa tukio kubwa la kihistoria la tuzo za Mtvmama 2016, Huu ufuato ni utabiri wangu juu ya washindi wa tuzo hizo.

1.Best Male Artist - Wizkid (,Nigeria)

2.Artist of The year - Wizkid ( Nigeria)

3. Best Collaboration - Unconditionallybae by Alikiba & Sautsol ( Tanzania/ Kenya)

4. Best breakthrough Artist - Tekno ( Nigeria)

5. Song of the Year - Unconditionallybae by Sautsol & Alikiba ( Kenya/ Tanzania)

6. Best live Act - Eddykenzo ( Uganda)

7. Best Africa group - Sautsol (Kenya)

8. Best Female Artist - Tiwa savage ( Nigeria)

9. Best personality of the Year - Wizkid ( Nigeria)

10. Listeners Choice - Kiss Daniel ( Nigeria)

11. Best Hip pop Act - Casper Nyovest ( South Africa)
Team kiba utawajua
 
Zikiwa zimebaki takribani siku 4 kufanyika kwa tukio kubwa la kihistoria la tuzo za Mtvmama 2016, Huu ufuato ni utabiri wangu juu ya washindi wa tuzo hizo.

1.Best Male Artist - Wizkid (,Nigeria)

2.Artist of The year - Wizkid ( Nigeria)

3. Best Collaboration - Unconditionallybae by Alikiba & Sautsol ( Tanzania/ Kenya)

4. Best breakthrough Artist - Tekno ( Nigeria)

5. Song of the Year - Unconditionallybae by Sautsol & Alikiba ( Kenya/ Tanzania)

6. Best live Act - Eddykenzo ( Uganda)

7. Best Africa group - Sautsol (Kenya)

8. Best Female Artist - Tiwa savage ( Nigeria)

9. Best personality of the Year - Wizkid ( Nigeria)

10. Listeners Choice - Kiss Daniel ( Nigeria)

11. Best Hip pop Act - Casper Nyovest ( South Africa)
W jamaa kichwa chako ni zero ....uyo malkia kiba ni overrated ...ila yuko level moja tu na kina tecno na kina kcee ila level ya mnyama mondi na kina wizkid bado sana....endelea kujenga majungu
 
Back
Top Bottom