Utabiri wangu juu ya mambo huwa kweli

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,399
Reaction score
8,594
Habari wana JF sijui hili litakua tatizo, kila jambo ambalo nalihisi basi hutokea kweli


nikihisi muda huu nitatumiwa sms na mpenzi wangu basi inatokea kweli ananitumia sms


Kuna siku nyingine nahisi leo hatonitafuta basi hanitafuti kweli


I short hisia zangu nyingi hugeuka kua uhalisia

Nahitaji neno kutoka kwenu wana JF
 
hic
hicho ni kichaa cha mapenzi, kisha ni upofu wa mapenzi!
 
Hebu tutabirie kuhusu kichaa
 
Mshana Jr ebu saidia ufafanuzi hapa mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…